Azam na habari ya saa mbili haitangazi matukio muhimu ya Serikali

Azam na habari ya saa mbili haitangazi matukio muhimu ya Serikali

Revolution

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2008
Posts
960
Reaction score
927
Nimeangalia headlines ya Azam leo tarehe 25 Julai 2024 kwenye UTV ambapo leo kulikuwa na issue kubwa ya RAIS kuadhimisha siku ya Mashujaa, habari hiyo haikuwa kwenye headline.

Kulikuwa na Treni ya kisasa ya Umeme ya SGR kufanya safari yake kutoka Dar hadi Dodoma lakini habari hiyo haikuwa kwenye Headline ya UTV ya Azam.

Azam hawapendi haya maendeleo yanayofanywa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suhulu Hassan? Mbona ITV wamefanya coverage japo kwa muda mchache?

UTV inaonekana vizuri sana ila habari zao hazioneshi matukio makubwa. Editor ajitazame.
 
Nimeangalia headlines ya Azam leo tarehe 25 Julai 2024 kwenye UTV ambapo leo kulikuwa na issue kubwa ya Mhe. RAIS kuadhimisha siku ya Mashujaa...
Kwani ndugu,inawezekana walikuwepo wale viumbe wasumbufu kwa binaadamu na hivyo baada ya kutambua wamebainika ni kero huenda wanasita sasa watookeee viiipiii?
 
Nimeangalia headlines ya Azam leo tarehe 25 Julai 2024 kwenye UTV ambapo leo kulikuwa na issue kubwa ya RAIS kuadhimisha siku ya Mashujaa, habari hiyo haikuwa kwenye headline.

Kulikuwa na Treni ya kisasa ya Umeme ya SGR kufanya safari yake kutoka Dar hadi Dodoma lakini habari hiyo haikuwa kwenye Headline ya UTV ya Azam.

Azam hawapendi haya maendeleo yanayofanywa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suhulu Hassan? Mbona ITV wamefanya coverage japo kwa muda mchache?

UTV inaonekana vizuri sana ila habari zao hazioneshi matukio makubwa. Editor ajitazame.
Ukielewa maana ya headline utajua ni kwanini wewe ulijipa jina la tofauti na mwenzako
 
Back
Top Bottom