Azam ndiyo mnatupandishia vifurushi kwa hizi boxing za walevi wa chang'aa!

Azam ndiyo mnatupandishia vifurushi kwa hizi boxing za walevi wa chang'aa!

Hawa mabondia sidhani kama wanafanya hata mazoezi ya boxing[emoji3][emoji3]

Kama hili pambano la Joseph Mchapeni ndiyo kituko, hayo mapambano siyo ya kupoteza mda kupeleka makamera na kurusha kwenye tv, ni kituko!
[emoji3][emoji3]
 
Moses Golola kacheza pambano moja tu akashinda kwa point basi.
 
Back
Top Bottom