Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naangalia hapa hawa jamaa sidhan kama ni mabondia! hawa wameokotwa vilabunHawa mabondia sidhani kama wanafanya hata mazoezi ya boxing[emoji3][emoji3]
Kama hili pambano la Joseph Mchapeni ndiyo kituko, hayo mapambano siyo ya kupoteza mda kupeleka makamera na kurusha kwenye tv, ni kituko!
[emoji3][emoji3]Hawa mabondia sidhani kama wanafanya hata mazoezi ya boxing[emoji3][emoji3]
Kama hili pambano la Joseph Mchapeni ndiyo kituko, hayo mapambano siyo ya kupoteza mda kupeleka makamera na kurusha kwenye tv, ni kituko!
Yule jamaa sijui hata kama ni bondia.Kuna bondia amekonda kapigwa mbaya mbovu na mnengua viuno angekutana na ngumi yangu moja angeamka yupo kaburini
Ndio anaingia nowmandonga anashinda saa ngapi?
Mkuu tupe ni mrejesho hukoHuyu Golola akija kumuotea ngumi moja mandonga pambano litaisha hapo hapo. Ila akifika nae mbali atapigwa yeye.
Wanashikana (kukumbatiana) sana,Mkuu tupe ni mrejesho huko
Duhh mbona mapema sana mkuu 🤣Na pambano limeisha, mandonga kapigwa jwa knick out
Linaishaje kirahisi ivo..Na pambano limeisha, mandonga kapigwa jwa knick out