Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Jul 30, 2023 #41 mkorea said: Kwa points twaha amepigwa Ila wahenga husema mcheza kwao hutunzwa' ebu tuone Sasa hawa marefa Click to expand... Leo wamekua fair, labda points amepitwa kiasi hata habebeki. Mtu hata ngumi harushi anaweka guard tu muda wote ndio mchezo gani huo?
mkorea said: Kwa points twaha amepigwa Ila wahenga husema mcheza kwao hutunzwa' ebu tuone Sasa hawa marefa Click to expand... Leo wamekua fair, labda points amepitwa kiasi hata habebeki. Mtu hata ngumi harushi anaweka guard tu muda wote ndio mchezo gani huo?
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 7,938 Reaction score 17,729 Jul 30, 2023 #42 Shark said: Leo wamekua fair, labda points amepitwa kiasi hata habebeki. Mtu hata ngumi harushi anaweka guard tu muda wote ndio mchezo gani huo? Click to expand... Unajua waluguru waradhika mapema sana Nimeshangaa Sana Twaha ametu-let down watanzania, tulikua tunamkubali sana. Kuliko mwakinyo
Shark said: Leo wamekua fair, labda points amepitwa kiasi hata habebeki. Mtu hata ngumi harushi anaweka guard tu muda wote ndio mchezo gani huo? Click to expand... Unajua waluguru waradhika mapema sana Nimeshangaa Sana Twaha ametu-let down watanzania, tulikua tunamkubali sana. Kuliko mwakinyo
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Jul 30, 2023 #43 mkorea said: Unajua waluguru waradhika mapema sana Nimeshangaa Sana Twaha ametu-let down watanzania, tulikua tunamkubali sana. Kuliko mwakinyo Click to expand... Labda alijiaminisha kua mcheza kwao hutunzwa
mkorea said: Unajua waluguru waradhika mapema sana Nimeshangaa Sana Twaha ametu-let down watanzania, tulikua tunamkubali sana. Kuliko mwakinyo Click to expand... Labda alijiaminisha kua mcheza kwao hutunzwa
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 7,938 Reaction score 17,729 Jul 30, 2023 #44 Shark said: Labda alijiaminisha kua mcheza kwao hutunzwa Click to expand... Ndio shida ya wabongo
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,203 Reaction score 37,906 Jul 30, 2023 #45 Hamia DSTv
kishumbaz JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 1,183 Reaction score 1,619 Jul 30, 2023 Thread starter #46 Ninja assasin said: Kuna bondia amekonda kapigwa mbaya mbovu na mnengua viuno angekutana na ngumi yangu moja angeamka yupo kaburini Click to expand... Watakuja kufia kwenye ring[emoji3]
Ninja assasin said: Kuna bondia amekonda kapigwa mbaya mbovu na mnengua viuno angekutana na ngumi yangu moja angeamka yupo kaburini Click to expand... Watakuja kufia kwenye ring[emoji3]