Azam ni kama mtoto anayepewa kila kitu na mzazi wake ila ni mtoto mtukutu sana

Azam ni kama mtoto anayepewa kila kitu na mzazi wake ila ni mtoto mtukutu sana

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ukiitazama Azam FC ni timu ambayo uwekezaji wake ni mkubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati lakini wanachokifanya ni AIBU Tupu!

Nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi yani ningekuwa boss wa Azam sijuwi ningekuwa katika hali gani sasa. Maana kama kuwekeza basi ni uwekezaji mkubwa ambao matumaini ni kufanya vizuri kwenye kila mashindano ya msimu husika lakini kinachotokea sasa doh.

Kuna namna viongozi wa Azam FC wanapaswa kujitafakarii kwenye hii project ya uwekezaji kama kweli wanataka mafanikio kama wanayoyapata Yanga na Simba.

Soma Pia: FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024

Maana ukiangalia katika mchezo wa leo kuna muda unajiuliza hawa ndiyo Azam kweli. Wachezaji wanacheza tu bila jitihada ya kujitoa zaidi yaani kifupi utazani walikuwa kama washafuzu kumbe badooo kabisa.

Kuna jambo ndani ya Azam kama ni mchawi aliwaroga amekufa watafute namna ya kupona kwenye mtego wa kurogwa zaidi.

Niishe hapo tu kwa leo Hongera Timu ya Wananchi Yanga SC kufuzu hatua nyingine ya CAFC.
 
Azam FC ni timu ya matangazo ya bidhaa za Bakheresa ..
 
Timu ya Azam ni nzuri, ila bado inahitaji namba tisa kama Dube, pia yule dogo mzenji anajituma ni bora kuliko Mtasingwa na Akaminko, alipoingia timu iliamka na kushambulia sana ila pia Azam inahitaji kiungo mshambuliaji kama Max Nzengeli au namba 8 mkali wa kusaidiana na Feitoto , ila zaidi Azam inahitaji mtaalam wa saikolojia sio Dabo, mtaalam afundishe kujaza morali wale wachezaji na ule ukamiaji wao wanaoifanyia Yanga waweze kuuhamishia na kwingine, kazi kwisha!

Au kama vipi Azam wakaibe mbinu za Yanga kila mchezaji anakimbia, anakaba hadi penati na kushambulia kama nyuki wakiongozwa na Mzize. Timu yao leo ilicheza kupoteza muda huku wakiwa na matokeo mfukoni na dharau kwa mpinzani , walipofungwa goli la pili muda ushayoyoma wakaamka!

Wachezaji wa Azam wamejaa ujinga mtupu!! Wamegeuza Azam shamba la bibi, wana akili za ndondo cup, wanacheza kama vile Azam ni timu ya familia! Wapuuzi sana!!

Dawa ni Dabo aondoke, aje kocha mwingine atengeneze Azam kuwa na first eleven mbili kila mchezaji agombanie namba kama Yanga!! Kisha wamchukue Manara atawachangamsha wachezaji huko Chamazi!

Sijui kwanini mwanangu ni shabiki wa Azam kazi kuninunulisha majezi yao tu!
 
Ukiitazama Azam FC ni timu ambayo uwekezaji wake ni mkubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati lakini wanachokifanya ni AIBU Tupu!

Nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi yani ningekuwa boss wa Azam sijuwi ningekuwa katika hali gani sasa. Maana kama kuwekeza basi ni uwekezaji mkubwa ambao matumaini ni kufanya vizuri kwenye kila mashindano ya msimu husika lakini kinachotokea sasa doh.

Kuna namna viongozi wa Azam FC wanapaswa kujitafakarii kwenye hii project ya uwekezaji kama kweli wanataka mafanikio kama wanayoyapata Yanga na Simba.

Soma Pia: FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024

Maana ukiangalia katika mchezo wa leo kuna muda unajiuliza hawa ndiyo Azam kweli wachezaji wanacheza tu bila jitihada ya kujitoa zaidi yaani kifupi utazani walikuwa kama washafuzu kumbe badooo kabisa.

Kuna jambo ndani ya Azam kama ni mchawi aliwaroga amekufa watafute namna ya kupona kwenye mtego wa kurogwa zaidi.

Niishe hapo tu kwa leo Hongera Timu ya Wananchi Yanga SC.
Azam FC siyo mfano wa mtoto mtukutu, ila ni mfano wa mtoto mzembe sana na asiyejielewa.

Ova
 
Ukiitazama Azam FC ni timu ambayo uwekezaji wake ni mkubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati lakini wanachokifanya ni AIBU Tupu!

Nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi yani ningekuwa boss wa Azam sijuwi ningekuwa katika hali gani sasa. Maana kama kuwekeza basi ni uwekezaji mkubwa ambao matumaini ni kufanya vizuri kwenye kila mashindano ya msimu husika lakini kinachotokea sasa doh.

Kuna namna viongozi wa Azam FC wanapaswa kujitafakarii kwenye hii project ya uwekezaji kama kweli wanataka mafanikio kama wanayoyapata Yanga na Simba.

Soma Pia: FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024


Maana ukiangalia katika mchezo wa leo kuna muda unajiuliza hawa ndiyo Azam kweli wachezaji wanacheza tu bila jitihada ya kujitoa zaidi yaani kifupi utazani walikuwa kama washafuzu kumbe badooo kabisa.

Kuna jambo ndani ya Azam kama ni mchawi aliwaroga amekufa watafute namna ya kupona kwenye mtego wa kurogwa zaidi.

Niishe hapo tu kwa leo Hongera Timu ya Wananchi Yanga SC.
Sio mtukutu Bali hayana akili
 
Ni mtoto wake kiongozi kua makini na sio mtoto w wanachama sw. Piga kimya timu ni yake pekeake tajiri.



All the best
 
Azam ni sawa na mtoto wa kitajiri anayepewa elimu nzuri lakini bado anakua kilaza
Azam wanahitaji wawafanyie utafiti kwanini wanakwama, Wamtumie ata Mshindo Msola, Ismail Aden Rage ,Kaduguda,Abas Tarimba Salim Madadi na wengine wazawa ambao wanalifahamu soka la ndani ya Nchi na Afrika kwa ujumla.

Liundwe Jopo la wabobezi kwa taaluma na wazoefu wa soka litakalo waambia ukweli wapi wanakosea.
Sio jambo la kufurahisha kuwaona Azam awafanyi vizuri kwakua Wamiliki wa Azam wameusaidia Sana mpira wa Nchi hii, nivizuri na wao wasaidiwe ki taalamu na si ki majungu.

Siku Wamiliki wa Azam wakijiondoa katika soka kwa kukata tamaa, Nchi itarudi nyuma Sana katika soka maana Azam wameongeza kitu kikubwa kwenye mpira wa Tanzania.

Azam wanazalisha wachezaji wengi Sana wanao tumiwa na vilabu mbali mbali.
Inahitajika tafiti ya maana kabisa na baada ya kupata Matokeo ya utafiti waufanyie kazi.
 
Timu ya Azam ni nzuri, ila bado inahitaji namba tisa kama Dube, pia yule dogo mzenji anajituma ni bora kuliko Mtasingwa na Akaminko, alipoingia timu iliamka na kushambulia sana ila pia Azam inahitaji kiungo mshambuliaji kama Max Nzengeli au namba 8 mkali wa kusaidiana na Feitoto , ila zaidi Azam inahitaji mtaalam wa saikolojia sio Dabo, mtaalam afundishe kujaza morali wale wachezaji na ule ukamiaji wao wanaoifanyia Yanga waweze kuuhamishia na kwingine, kazi kwisha!

Au kama vipi Azam wakaibe mbinu za Yanga kila mchezaji anakimbia, anakaba hadi penati na kushambulia kama nyuki wakiongozwa na Mzize. Timu yao leo ilicheza kupoteza muda huku wakiwa na matokeo mfukoni na dharau kwa mpinzani , walipofungwa goli la pili muda ushayoyoma wakaamka!

Wachezaji wa Azam wamejaa ujinga mtupu!! Wamegeuza Azam shamba la bibi, wana akili za ndondo cup, wanacheza kama vile Azam ni timu ya familia! Wapuuzi sana!!

Dawa ni Dabo aondoke, aje kocha mwingine atengeneze Azam kuwa na first eleven mbili kila mchezaji agombanie namba kama Yanga!! Kisha wamchukue Manara atawachangamsha wachezaji huko Chamazi!

Sijui kwanini mwanangu ni shabiki wa Azam kazi kuninunulisha majezi yao tu!
Ila wana jezi kali!
 
Ukiitazama Azam FC ni timu ambayo uwekezaji wake ni mkubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati lakini wanachokifanya ni AIBU Tupu!

Nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi yani ningekuwa boss wa Azam sijuwi ningekuwa katika hali gani sasa. Maana kama kuwekeza basi ni uwekezaji mkubwa ambao matumaini ni kufanya vizuri kwenye kila mashindano ya msimu husika lakini kinachotokea sasa doh.

Kuna namna viongozi wa Azam FC wanapaswa kujitafakarii kwenye hii project ya uwekezaji kama kweli wanataka mafanikio kama wanayoyapata Yanga na Simba.

Soma Pia: FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024

Maana ukiangalia katika mchezo wa leo kuna muda unajiuliza hawa ndiyo Azam kweli wachezaji wanacheza tu bila jitihada ya kujitoa zaidi yaani kifupi utazani walikuwa kama washafuzu kumbe badooo kabisa.

Kuna jambo ndani ya Azam kama ni mchawi aliwaroga amekufa watafute namna ya kupona kwenye mtego wa kurogwa zaidi.

Niishe hapo tu kwa leo Hongera Timu ya Wananchi Yanga SC.
Kuna uzi niliandika humu kwa maslahi mapana ya mpira wetu Azam kushika nafasi ya pili kikwetu nzuri inaleta ushindani lakini kimataifa sio jambo nzuri hawataweza wataturudisha nyuma nikatukanwa leo yametokea. juhudi zote za Yanga Simba kutusogeza mbele kaja Azam kapiga reverse kwenye mteremko.
 
Mimi huwa ninamshangaa sana mchezaji mzuri kwenda kuchezea Azam! Prince Dube baada ya kugundua pesa siyo kila kitu hapa diniani! Isipokuwa kujipa furaha, ndiyo kila kitu; akaamua kuachana nao.

Na tayari mpaka sasa matunda ameshaanza kuyaona, huku yule mla ugali na sukari akiishia tu kukata mauno ya kujifariji.
 
Back
Top Bottom