Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Pana usemi huu "kusoma hujui lakini hata picha huwezi kuitambua?"
Alama tatu tumewapa kiroho safi tu na nafasi ya pili tutawapa kwa kihakikisha moja kati ya mechi hizi mbili ziizobaki tunatoa sare tu.
Nyie endeleeni kushinda mechi zenu hata kwa goli moja tu.
Alama tatu tumewapa kiroho safi tu na nafasi ya pili tutawapa kwa kihakikisha moja kati ya mechi hizi mbili ziizobaki tunatoa sare tu.
Nyie endeleeni kushinda mechi zenu hata kwa goli moja tu.