Azam ni Simba?

Azam ni Simba?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Pana usemi huu "kusoma hujui lakini hata picha huwezi kuitambua?"
Alama tatu tumewapa kiroho safi tu na nafasi ya pili tutawapa kwa kihakikisha moja kati ya mechi hizi mbili ziizobaki tunatoa sare tu.
Nyie endeleeni kushinda mechi zenu hata kwa goli moja tu.
IMG-20240521-WA0091.jpg
 
Pana usemi huu "kusoma hujui lakini hata picha huwezi kuitambua?"
Alama tatu tumewapa kiroho safi tu na nafasi ya pili tutawapa kwa kihakikisha moja kati ya mechi hizi mbili ziizobaki tunatoa sare tu.
Nyie endeleeni kushinda mechi zenu hata kwa goli moja tu.View attachment 2997166
Azam ni Simba damu
 
Back
Top Bottom