Hata mimi niliboreka sana jana. Huwa napenda commentators wa Kiingereza kuliko hawa kiswahili. Jana iligoma matangazo upande wa Kiingereza.Nikiona wanatafsiri nawekaga mute tuu bila sauti.
Habari wakuu, naangalia mechi kati ya Real Madrid na Eibar mpira unatangazwa kiswahili. Unaweza kuchagua lugha kati ya kiswahili na kiingereza, lakini kotekote wanatangaza kiswahili, tatizo nini? Hii pia hutokea katika baadhi ya mechi za Uingereza wanazoonyesha.
Kuna raha yake kusikia wanavyotangaza wenyewe kwa lugha ya malkia hata kama mengine yanatupita kuliko kusikiliza vitu na majina tofauti ya wachezaji.
Mkuu hii kitu huwa inanipa taabu sana,wakati mwingine hata mpira hawatangazi, wanaishia kusifia mchezaji mmoja.AZAM wamenipelekea ninapoangalia La Liga niondoe sauti,bora niangalie mpira huku nasikiliza redio kuliko ule ujinga wa Watangazaji wao.Habari wakuu, naangalia mechi kati ya Real Madrid na Eibar mpira unatangazwa kiswahili. Unaweza kuchagua lugha kati ya kiswahili na kiingereza, lakini kotekote wanatangaza kiswahili, tatizo nini? Hii pia hutokea katika baadhi ya mechi za Uingereza wanazoonyesha.
Kuna raha yake kusikia wanavyotangaza wenyewe kwa lugha ya malkia hata kama mengine yanatupita kuliko kusikiliza vitu na majina tofauti ya wachezaji.
Aha ha ha haDah binafsi baadaya ya lile goli la kroos nikaenda kulala maana hata mzuka ulikata huyo ulamaa hakuona wala kujua ni goli aligundua baada ya kuona wanashangilia naye ndo akaanza kushangaa