Azam telecom ni fire 🔥 tigo byee byee

habari yako mbona haija kamilika ?
embu weka details za kutosha
 
Hmmmm, Hizo bundle kama ni kweli jamaa watavuna hela zisizo za kawaida.

I love their mentality.
 
Mbona kama tgpesa.....halafu ni suala.la muda tuu watakaa meza moja na kupanga bei.

Unakumbuka sakata la Azam cola?
 
Hili ganda la ndizi lazima nivibe nalo. Tupeni details. Line zinapatikana wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…