Mtu asiporidhishwa na huduma hospitalini utamuambia afungue hospitali yake?Isiwe taabu mkuu, fungua chombo chako cha habari utangaze habari uzipendazo. Simpo!
Mkuu kwanini unatumia Nyuclia kwenye vita ya MarunguMatangazo haya yanalipiwa ndio ukaona Kila mara yanatoka, Je hao makafiri wanalipia halafu yasitoke?
Kuna a rise and shine hipo hope channel upendo tv na channels kibao za kikiristu tena sio za kilipia ni wewe tu na remote yako.Niliapa kutotumia Azam Networks kitambo sana, DSTV, Zuku, Startimes
Udinit, ukisha kuwa kwenye dini fulani, ni kama "inborn" character that needs extra determination to change it! Tena wa dini ile ambayo ni dini ya Mwenyeaaazi Mungu, highly conserved and highly internalized! Huwaambii chochote ndiyo maana wanadiriki kuwaita wanadamu wenzano makafiri!Azam tv na Azam media acheni udini aisee muwe mnabalance habari aisee hii habari ya Mufti Menk naona mmeivalia njuga kweli kweli lakini mbona hatuoni matamasha ya upande wa pili kama Mwamposa au Mwakasege au ya ma wa pastor wa nje hamzipi promo?
Azam tv ni chombo cha public kila mtu wa dini tofauti tofauti ni watazamaji ila sijui kwanini mnapromo mambo ya waislamu tu mnakera sana aisee😂😂🥹🥹
Wanataka free port😂Matangazo haya yanalipiwa ndio ukaona Kila mara yanatoka, Je hao makafiri wanalipia halafu yasitoke?
Na njie pale wanapokuja waungu wenu kutoka ulaya na marekani mmji mzuma kujaa vipeperushi tuite nn ile, vumilia tu au peekaboo na ww matangazo yako azmaNi ngumu kutenganisha imani yao na maisha ya kila siku.. Sio utamaduni wao
Kwani ulilazimishwa kutazama?Azam tv na Azam media acheni udini aisee muwe mnabalance habari aisee hii habari ya Mufti Menk naona mmeivalia njuga kweli kweli lakini mbona hatuoni matamasha ya upande wa pili kama Mwamposa au Mwakasege au ya ma wa pastor wa nje hamzipi promo?
Azam tv ni chombo cha public kila mtu wa dini tofauti tofauti ni watazamaji ila sijui kwanini mnapromo mambo ya waislamu tu mnakera sana aisee😂😂🥹🥹
Anawashwa huyo.Kuna watu jau kweli. Hivi channeli za akina mwamposa hapo azam ni kweli hua huzioni au upo usingizini?