Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Sijui shida ni idadi chache ya camera ila kitu gani ambacho kinashindwa kufanya matukio yenye utata yawekwe wazi kupitia picha za marejeo.
Hili watu wameliongelea tokea misimu ya nyuma, tulivyoona kuna ununuzi wa VAR, na camera mpya tulitegemea matukio yenye utata viwanjani vimepata mkombozi kwa angalau ila ni vile vile tu.
Goli la leo lililofungwa na Bacca kwa marejeo ya video inaonesha kuwa hakuna kichwa kilichopigwa, lakini kuna mikono ya watu watatu imeongozana akiwepo kipa wa Prisons, Bacca na mchezaji wa Prisons ila huoni ni yupi mtu wa mwisho kuugusa ule mpira ni mchezaji yupi bali unaona tu papatu papatu halafu mpira ule unaenda nyavuni.
Raha ya kuangalia mpira kwenye TV ni wote kuondoka na jibu la aina moja kupitia marejeo ya video. Sasa haijulikani kipa alijifunga, au mchezaji wa Prisons kaunawa mpira au mchezaji wa Yanga ndiye aliyeunawa mpira. Nimetazama video zaidi ya mara tano hali clarify tukio la goli 4 la Yanga.
View: https://x.com/SportsarenatzTz/status/1870844096933495220?t=f3-Bzz7DNfdmMv2RrguVuA&s=09
Hili watu wameliongelea tokea misimu ya nyuma, tulivyoona kuna ununuzi wa VAR, na camera mpya tulitegemea matukio yenye utata viwanjani vimepata mkombozi kwa angalau ila ni vile vile tu.
Goli la leo lililofungwa na Bacca kwa marejeo ya video inaonesha kuwa hakuna kichwa kilichopigwa, lakini kuna mikono ya watu watatu imeongozana akiwepo kipa wa Prisons, Bacca na mchezaji wa Prisons ila huoni ni yupi mtu wa mwisho kuugusa ule mpira ni mchezaji yupi bali unaona tu papatu papatu halafu mpira ule unaenda nyavuni.
Raha ya kuangalia mpira kwenye TV ni wote kuondoka na jibu la aina moja kupitia marejeo ya video. Sasa haijulikani kipa alijifunga, au mchezaji wa Prisons kaunawa mpira au mchezaji wa Yanga ndiye aliyeunawa mpira. Nimetazama video zaidi ya mara tano hali clarify tukio la goli 4 la Yanga.
View: https://x.com/SportsarenatzTz/status/1870844096933495220?t=f3-Bzz7DNfdmMv2RrguVuA&s=09