Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Azam full set
Decoder na dish na kifurushi cha mwezi
Bei: 170k
Kiwalani, Dar. Call 0683011003
Decoder na dish na kifurushi cha mwezi
Bei: 170k
Kiwalani, Dar. Call 0683011003
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
laki 1 ipo mfuko wa shatiAzam full set
Decoder na dish na kifurushi cha mwezi
Bei: 170k
Kiwalani, Dar. Call 0683011003
View attachment 1888236
Hapana mkuu haiwezekani thats a small offerlaki 1 ipo mfuko wa shati
nicheki kama ukihitaji biashara
Mbona 170 ni zaidi ya kipya kabisa ?Hapana mkuu haiwezekani thats a small offer
basi kanunue kipya mkuu mbona tulumbane kwa kitu kidogo.Mbona 170 ni zaidi ya kipya kabisa ?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nmeuliza
Una mislead watu wengine wasiojua wakati ukweli uko wazi.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nmeuliza
Kumbe imepanda kiasi hicho bhas wakupe ata 185k ....nilijua bei zetu za kitongaUna mislead watu wengine wasiojua wakati ukweli uko wazi.
decoder mpya ni 240,000 + installation.
halafu ww unasema 170k unapata kipya dukani
iko kitu used unataka bei ya dukaniHapana mkuu haiwezekani thats a small offer
mkuu bei yake ni ileile hapanda kabisaKumbe imepanda kiasi hicho bhas wakupe ata 185k ....nilijua bei zetu za kitonga
Bei yake dukan 135k pamoja na kifurushi kikubwa, jaribu kupitia maduka na mawakala tofautimkuu bei yake ni ileile hapanda kabisa
humo katika hiyo bei kuna kifurushi kikubwa kile wameunganisha kwa miezi mitatu
kwa maana hiyo kikiuzwa bila kifurushi kikubwa ni chini ya laki mojaBei yake dukan 135k pamoja na kifurushi kikubwa, jaribu kupitia maduka na mawakala tofauti
Kinga'amuzi chochote unachonunua lazima kiwe na ofa ya kifurushi Cha mwezi na Azam hiyo ndo Bei yake halisi 135 k kipya bila ufundikwa maana hiyo kikiuzwa bila kifurushi kikubwa ni chini ya laki moja
sasa hiki kimetumika kweriikweiiii
huyo jamaa kaweka tamaa tu
Acheni kupotosha watu,king'amuzi cha Azam kwa sasa ni 210,000 bila installation cost. Pia ukumbuke Ving'amuzi vyote vipya vinakuwa installed na package ya offer na huwezi kusema eti upewe ambacho hakina offer sababu kishakuwa programmedKinga'amuzi chochote unachonunua lazima kiwe na ofa ya kifurushi Cha mwezi na Azam hiyo ndo Bei yake halisi 135 k kipya bila ufundi
Wanatoa offer ya miezi 3Acheni kupotosha watu,king'amuzi cha Azam kwa sasa ni 210,000 bila installation cost. Pia ukumbuke Ving'amuzi vyote vipya vinakuwa installed na package ya offer na huwezi kusema eti upewe ambacho hakina offer sababu kishakuwa programmed
Leta hiyo pesa nikupeKama upo serious kuuza nicheki PM kuna 130 ya haraka.
Leta hiyo pesa nikupe