Tetesi: Azam Tv kupandisha bei vifurushi

Tetesi: Azam Tv kupandisha bei vifurushi

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Baada ya Dstv kupandisha vifurushi vyake mwezi septemba, nimedokezwa muda wowote kuanzia sasa, AzamTv nae atapandisha vifurushi vyake, kile cha kuona mpira elfu 20 sasa kuwa 25! Ni matokeo ya mlolongo wa kodi walizopanfishiwa. Je tutafika?
 
Kile cha Azam play tulichokua tunalipia elfu 28 now ni elfu 35..
 
Natamani pale Azam Tv pawepo na namna ya kulipia kifurushi walau kwa miezi 2, 3 au 6 kuliko hii ya mwezi mmoja mmoja.
 
Kuna wale waliokwisha kufa ila wanajitutumua kaburini Continental hawa jamaa mpaka channel yao unalipia 😂 wajinga sana hao.

Ila nilikuwa nawapenda kwenye angle moja hivi, wanakuwa na malipo ya siku, wiki au mwezi so kama leo kuna match basi unalipia kifurushi cha siku labda 1000 in 24hrs kikiisha unaangalia utaratibu mwingine.
 
Natamani pale Azam Tv pawepo na namna ya kulipia kifurushi walau kwa miezi 2, 3 au 6 kuliko hii ya mwezi mmoja mmoja.
Heee!!mbona huduma hiyo ipo hata kama unataka kulipia mwaka mzima?!!ni wewe tu
 
Hatari Sana hiyo.Nitawakacha mm screen iwe ya kuangalizia movie tu
 
Ila Tutafika tuu
Hakuna tena mtetez wa walaji wa mwisho
 
Baada ya Dstv kupandisha vifurushi vyake mwezi septemba, nimedokezwa muda wowote kuanzia sasa, AzamTv nae atapandisha vifurushi vyake, kile cha kuona mpira elfu 20 sasa kuwa 25! Ni matokeo ya mlolongo wa kodi walizopanfishiwa. Je tutafika?
Wacha Mama aendelee kuupiga mwingi! Jirani na ninapokaa kinajengwa Kituo cha Afya. Tumeambiwa ni matunda ya TOZO kwenye vifurushi vya simu! Uenda TOZO ya vifurushi vya TV ikaleta kitu kingine mtaani kwangu!


Kazi na TOZO viendeleeee!!!!
 
Back
Top Bottom