[emoji38] [emoji38] [emoji38] mwenyew anasema naolewa babuuuuuNi joti yupi anayeoa? Yule babu?, kijana?, au yule joti demu?
mbona azam wanasema saa moja jion au imechanganywa???!Harusi ya mchekeshaji mahiri nchini Jotti itaonyeshwa live na Azam Tv kupitia chanel yake ya Sinema Zetu kuanzia saa tatu(3) kamili usiku live kutoka mlimani City.
Joti ameahidi burudani na vitu vizuri kwa watazamaji wote wa sinema zetu huku akipigwa tafu na macelebrity kibao kutoka Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji40] atr sana naomba ninyamaze 2Ni joti yupi anayeoa? Yule babu?, kijana?, au yule joti demu?
Hahahaha....watu wanajua kuchangamkia fulsaNimeona tangazo huku uswazi kwenye vibanda umiza.
Kiingilio 500. Nitaingia niangalie.