Makaoconset
New Member
- Apr 20, 2012
- 2
- 2
Ni ukweli usiopingika hawa jamaa wana vipindi vizuri vinavyopendwa na watanzania walio wengi.Hata hivyo ujio wa king'amuzi kipya mwezi ujao pamoja na mambo mengine ulizinduliwa na "uwongo" wa kile kilichodaiwa kushusha bei ya malipo ya vifurushi kwa mwezi.
Hata hivyo, wakati nikiwasikiliza wakati ule, nilijiuliza swali la msingi, "Channels zilizokuwa zikioneshwa zitabaki vile vile?au wametumia NENO kushusha bei ya vifurushi halafu, 'bila kuwaambia wananchi' wahamishe channels za kifurushi kimoja kwenda kingine?Nikamuuliza mwenzangu akasema, HAPANA, "walichofanya ni kushusha bei za vifurushi ili kuwafanyia wepesi wananchi".
Sasa, leo nafungua TV yangu, nakutana na maelezo yafuatayo;
1.Channele zote za mpira zitapatikana kwenye kifurushi cha 20,000/= kuanzai dec 1!Mwanzoni ilikuwa 18,000/=, najiuliza AZAM TV wameshusha au wamepandisha?na kwa nini wawadanganye wananchi?
2.Azam 1 na Azam 2, zitapatikana kwenye kifurushi cha 13,000/=, zamani zilipatikana kwenye kifurushi cha 10,000/=, najiuliza wameshusha au wamepandisha? na kwa nini wawadanganje wananchi?
Hizi ni observations mbili nilizoziona, na sadly wametumia nguvu kubwa sana kuwaamninisha wananchi kwamba VIFURUSHI vimeshushwa na ukweli ni kwamba ni "UONGO",Huwenda wakawa na maana tofauti, ila nadhani WAMEWADANGANYA WANANCHI.
Hata hivyo, wakati nikiwasikiliza wakati ule, nilijiuliza swali la msingi, "Channels zilizokuwa zikioneshwa zitabaki vile vile?au wametumia NENO kushusha bei ya vifurushi halafu, 'bila kuwaambia wananchi' wahamishe channels za kifurushi kimoja kwenda kingine?Nikamuuliza mwenzangu akasema, HAPANA, "walichofanya ni kushusha bei za vifurushi ili kuwafanyia wepesi wananchi".
Sasa, leo nafungua TV yangu, nakutana na maelezo yafuatayo;
1.Channele zote za mpira zitapatikana kwenye kifurushi cha 20,000/= kuanzai dec 1!Mwanzoni ilikuwa 18,000/=, najiuliza AZAM TV wameshusha au wamepandisha?na kwa nini wawadanganye wananchi?
2.Azam 1 na Azam 2, zitapatikana kwenye kifurushi cha 13,000/=, zamani zilipatikana kwenye kifurushi cha 10,000/=, najiuliza wameshusha au wamepandisha? na kwa nini wawadanganje wananchi?
Hizi ni observations mbili nilizoziona, na sadly wametumia nguvu kubwa sana kuwaamninisha wananchi kwamba VIFURUSHI vimeshushwa na ukweli ni kwamba ni "UONGO",Huwenda wakawa na maana tofauti, ila nadhani WAMEWADANGANYA WANANCHI.