Azam TV rekebisheni muonekano wa mwanga kwenye mechi zinazochezwa kwa Mkapa kupitia TV

Azam TV rekebisheni muonekano wa mwanga kwenye mechi zinazochezwa kwa Mkapa kupitia TV

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Mara zote mechi zinazochezwa mida ya saa kumi, watazamaji wa TV kupitia kisimbuzi chenu hukutana na muonekano wa giza katika nusu ya uwanja, jambo linalosababishwa na jua. Cameraman na uongozi wa Azam TV, fanyieni kazi tatizo hili la giza na tafuteni nafasi nzuri ya kuchukua video tofauti na ilivyo sasa.

Nusu ya uwanja inaonekana giza na nusu mwanga kupitia TV. Ikishindikana, itatulazimu kutumia tochi huku majumbani kwetu.
 
Hata marudio ya matukio upande wa kivuli hayaonekani vizuri.

Ulaya sehemu kama hizo wanatumia camera number 2 inayochukua matukio ya eneo lisilo onekana vyema na camera1
Unajiuliza timu ya camera man hapo uwanjani hawaoni tatizo hilo na kulitafutia ufumbuzi dk 45 nusu giza nusu mwanga.
 
huyu Yao Yao kama asingeweka breach kichwani nisingekuwa naona kitu upande huu
 
Wanatumia camera za 2 megapixel. Wasamehe bure. Coz wao hiyo ndo HD
 
Back
Top Bottom