Azam TV vipi mbona magumashi

Azam TV vipi mbona magumashi

Grader

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2009
Posts
445
Reaction score
64
Tunasubiria kuangalia mechi ya yanga na bdf x1 lakini kipindi kilishaanza lakin bado hawajajijunga
 
Nashangaa matangazo tu wanatuekea
 
Ha ha ha mkuu bhana.by the way,kandambili kapita,anaingia round ya pili...wale Wabotshwana urojo tu..
 
Yanga waligomea na bado wamegomea mkataba wa Azam...kwa hio Azam hawawezi kurusha mechi yao


Za ligi kuu hua wanarusha kwa sababu ya timu inayoshindana na yanga.....ndicho ninachokijua
 
Tunasubiria kuangalia mechi ya yanga na bdf x1 lakini kipindi kilishaanza lakin bado hawajajijunga

Hivi nyie mlikuwa mnaangalia Azam ipi? Mimi nimeangalia kipindi cha kwanza chote kupitia Azam two na ilikuwa inaonekana vizuri tu.
 
Back
Top Bottom