Azam TV wafanyakazi Customer Care kuna tatizo kubwa

Azam TV wafanyakazi Customer Care kuna tatizo kubwa

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Hawa wadada wanaopokea simu zetu kutusaidia matatizo mbalimbali ya decoder za azam kiukweli waliopo azam wanasikitisha sana. Wadada hawa wanapokea simu kama vile hawataki kuzungumza na mteja. Hawaonekani kama wana tabasamu au wanaipenda kazi yao.

Unaongea na mdada anakukatisha au anamalizia maneno yako, yaani anaonesha hataki kuendelea kukusikiliza au ana haraka. Viongozi/human resource tafadhali angalia watu wako. Kiukweli ni dada mmoja tu ndiye aliwahi kunipa ushirikiano mzuri nami nikaona amenijali kama mteja. Lakini kabla ya hapo nilishaongea na wadada kama 3 wote wakiongea kama vile wanakereka na mteja wakati huo huo nyuma kukisikika watu wengine wanapiga story na kubishana.

Katika ulimwengu huu wa ushindani wa kibiashara mteja ni mfalme, mteja ni mume. Mtujali wateja wenu tunapokuwa na matatizo.
 
Wanalipwa kiasi gani hao wadada? Usikute wanalipwa laki na nusu halafu tuanze kuwalaumu bure.
 
ndugu yangu...sisi malipo yao hayatuhusu. ili mradi wameamua kufanya kazi basi wafanye vizuri. maana sisi wateja ndo tunasababisha walipwe hiyo mishahara. hawajui sisi ndo mabosi wao. kama wanaona mshahara mdogo waache kazi lakini si kutuletea sisi stress.

Wanalipwa kiasi gani hao wadada? Usikute wanalipwa laki na nusu halafu tuanze kuwalaumu bure.
 
ndugu yangu...sisi malipo yao hayatuhusu. ili mradi wameamua kufanya kazi basi wafanye vizuri. maana sisi wateja ndo tunasababisha walipwe hiyo mishahara. hawajui sisi ndo mabosi wao. kama wanaona mshahara mdogo waache kazi lakini si kutuletea sisi stress.

Hawezi kuacha kazi maana kukaa nyumbani napo panachosha. Ataendelea kuzuga huku akiendelea kutafuta kazi yenye maslahi.

Tatizo linakuja hao wadada wanaongea na baadhi ya wateja wenye vichwa vigumu kuelewa na wao mishahara midogo wana madeni ya kutosha. Hamtaweza kuelewana hapo mkuu Sodoku.
 
kwanini usiwaripoti kwa uongozi wa azam? sidhani kama wahusika wanakuja kusoma humu
 
Mkuu ningepata namba za viongozi wao ngeshukuru sana maana kiukwel kuna haja ya kuwa report customer care/service wao si wazuri.ingawa nakiri mmoja ame nijibu vizuri kabisa mpaka nikamwambia kuwa toka jana nawasiliana na wenzie wananijibu kama hawatak au wamechoka na kazi.

kwanini usiwaripoti kwa uongozi wa azam? sidhani kama wahusika wanakuja kusoma humu
 
Mkuu ningepata namba za viongozi wao ngeshukuru sana maana kiukwel kuna haja ya kuwa report customer care/service wao si wazuri.ingawa nakiri mmoja ame nijibu vizuri kabisa mpaka nikamwambia kuwa toka jana nawasiliana na wenzie wananijibu kama hawatak au wamechoka na kazi.

hizo hapo

Azam TV - Contact Us
 
Azam huduma kwa wateja ni shida kweli kweli
 
Azam huduma kwa wateja ni shida kweli kweli
Kabisa. Wako incompetent mno. Sijajua kama Azam hawajapata taarifa hizi. Naamini kuna wanaowapelekea haya malalamiko live kbs
 
Chief..hii namba ndo hiyo hiyo ya customer care.so nakuwa nawapigia wao tena. Hivi anayewaajiri anawaajiri kwa kuzingatia vigezo gani?maana isije akawa anawaajiri watoto wa mjomba, shangazi.ma mdogo ba mdogo,ndugu jamaa na marafiki.pozi za hawa watu unapoongea nao ni baab kubwa. Ni kama wameridhika na sijui kama wanarekodiwa unapoongea nao.coz mi nmesikia smetme napoongea na mhusika nyuma yake kuna watu wanapiga story pia


 
Zamani tulikuwa tunashuhudia hudumba mbovu kwa taasisi za Umma kama mamlaka za maji, umeme, simu n.k, kwa sasa makampuni mengi ya binafsi ndio wana huduma mbovu. Si hao Azam pekee, ukienda Ting wao ndio wako hovyo kabisa na wala hawamjali mteja wameridhika!
Yawezekana kinachochangia haya yote ni hizi ajira za kubebana na kulindana na pengine mishahara midogo inayowafanya wafanyakazi kuwa na stress na kukosa furaha kazini
 
Unachosema ni kweli. Tuna tatizo kubwa wakat flan baadh ya watanzania kutojali kazi zetu. Nipatie huduma kwa wateja ya ting niwatafute pia.

Sijajua kwa nini wanaanza kupumbazika hivi.kuna kampuni moja imeajiri wafanyakazi wengi wa customer care toka nje ya nchi.ukiwapigia simu kutaka kusaidiwa kitu aisee wale watu wanaongea kwa heshima,upendo na ukarimu sana.na anahakikisha imeridhika kabisa na kama hujaridhika anakuhamishia kwa mwingine.akikwambia subiri akufanyie kazi flan anakupigia tena baada ya kufanikisha akikuomba msamaha kwa kukuweka. Wakat huo huo anakwambia kama utapenda kujua kuhusu products mpya usisite pia kuuliza ikiwa una muda.na wanafanya biashara sana kwa sababu wanapenda kaz yao


Zamani tulikuwa tunashuhudia hudumba mbovu kwa taasisi za Umma kama mamlaka za maji, umeme, simu n.k, kwa sasa makampuni mengi ya binafsi ndio wana huduma mbovu. Si hao Azam pekee, ukienda Ting wao ndio wako hovyo kabisa na wala hawamjali mteja wameridhika!
Yawezekana kinachochangia haya yote ni hizi ajira za kubebana na kulindana na pengine mishahara midogo inayowafanya wafanyakazi kuwa na stress na kukosa furaha kazini
 
Unachosema ni kweli. Tuna tatizo kubwa wakat flan baadh ya watanzania kutojali kazi zetu. Nipatie huduma kwa wateja ya ting niwatafute pia.

Sijajua kwa nini wanaanza kupumbazika hivi.kuna kampuni moja imeajiri wafanyakazi wengi wa customer care toka nje ya nchi.ukiwapigia simu kutaka kusaidiwa kitu aisee wale watu wanaongea kwa heshima,upendo na ukarimu sana.na anahakikisha imeridhika kabisa na kama hujaridhika anakuhamishia kwa mwingine.akikwambia subiri akufanyie kazi flan anakupigia tena baada ya kufanikisha akikuomba msamaha kwa kukuweka. Wakat huo huo anakwambia kama utapenda kujua kuhusu products mpya usisite pia kuuliza ikiwa una muda.na wanafanya biashara sana kwa sababu wanapenda kaz yao
Kuna siku moja nikapiga simu Ting baada ya kufanya malipo pasipo kufunguliwa jamaa akapokea ananiuliza "umechanganyikiwa? " baada ya kumuuliza kwa nini anasema hivyo najibiwa ulitakiwa usubiri tu mpaka watakaponiunganisha.
Majuzi king'amuzi kimekata nawauliza customer care wanasema hakuta tatizo, tena wanakuwa wabishi sana lakini nilipoenda ofisi zao za mkoa hapa nilipo wakaniambia eti LUKU imeisha kwenye mnara mpaka waweke, kama napata usumbufu eti bora ninunue dish. Nimechoka kwelikweli!
 
yaani sijui hata nianzie sijui nitukane au ,hopeless kabisa hawa watu unalipia vifurushi channel hazifunguki na namba hazipatikani
nimemamliza
 
Dawa ni moja tu, kila ukipiga simu akipokea mwanamke kata hadi apokee mwanaume. Askwambie mtu mkuu Customer care ya kiume iko fair sana, wanajua nini wanafanya. Mi ndo navofanya nowdays hadi kwenye mitandao ya simu siongei shida yangu hadi niskie sauti ya kiume ndo tutaelewana.
 
Usikute uliwapigis kipind bado hawajalipwa mshahara kwaiyo yeye unakuta matatizo na wewe unamuongezea matatizo hata mm ningekua wao ningekujibu hovyo tu
 
Hawa wadada wanaopokea simu zetu kutusaidia matatizo mbalimbali ya decoder za azam kiukweli waliopo azam wanasikitisha sana. Wadada hawa wanapokea simu kama vile hawataki kuzungumza na mteja. Hawaonekani kama wana tabasamu au wanaipenda kazi yao.

Unaongea na mdada anakukatisha au anamalizia maneno yako, yaani anaonesha hataki kuendelea kukusikiliza au ana haraka. Viongozi/human resource tafadhali angalia watu wako. Kiukweli ni dada mmoja tu ndiye aliwahi kunipa ushirikiano mzuri nami nikaona amenijali kama mteja. Lakini kabla ya hapo nilishaongea na wadada kama 3 wote wakiongea kama vile wanakereka na mteja wakati huo huo nyuma kukisikika watu wengine wanapiga story na kubishana.

Katika ulimwengu huu wa ushindani wa kibiashara mteja ni mfalme, mteja ni mume. Mtujali wateja wenu tunapokuwa na matatizo.
Yaani bora umelisemea. Ukilinganisha na wahudumu wa DSTV, hawa wa Azam ni wapuuzi wa mwisho kabisa, hawajui kazi ya huduma wka wateja na wale wanaoijua hawaijui kwa undani, Hawajui namna ya kuwasiliana na waaajiri wao (wateja). Nila sisi subscribers wao wataishije? Wajirekebishe
 
Hawa wadada wanaopokea simu zetu kutusaidia matatizo mbalimbali ya decoder za azam kiukweli waliopo azam wanasikitisha sana. Wadada hawa wanapokea simu kama vile hawataki kuzungumza na mteja. Hawaonekani kama wana tabasamu au wanaipenda kazi yao.

Unaongea na mdada anakukatisha au anamalizia maneno yako, yaani anaonesha hataki kuendelea kukusikiliza au ana haraka. Viongozi/human resource tafadhali angalia watu wako. Kiukweli ni dada mmoja tu ndiye aliwahi kunipa ushirikiano mzuri nami nikaona amenijali kama mteja. Lakini kabla ya hapo nilishaongea na wadada kama 3 wote wakiongea kama vile wanakereka na mteja wakati huo huo nyuma kukisikika watu wengine wanapiga story na kubishana.

Katika ulimwengu huu wa ushindani wa kibiashara mteja ni mfalme, mteja ni mume. Mtujali wateja wenu tunapokuwa na matatizo.
Nichek pm mkuu
 
Back
Top Bottom