Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Bonyeza menyu, nenda settings, kisha restore to the factory mode itaanza upyaNyie Azam shida yenu ni nini mbona Channel zote za sports hazioneshi..? Toka tarehe 01 August mlivyosema kuwa mnaboresha muonekano na kuongeza channel sports4.. hamuonekani Hadi leo hii..
Mkuu umefanikiwa ??Nyie Azam TV shida yenu ni nini? mbona Channel zote za sports hazioneshi? Toka tarehe 01 August mlivyosema kuwa mnaboresha muonekano na kuongeza channel sports4 hamuonekani hadi leo hii.
Auto installation nafanyaje?Sasa hv zina namba mpya kwahy unatakiwa kufanya auto installation Ili kuzipata.
Dah sasa niko mbali na Tv, ila bonyeza menu afu utaona setting Afu Kwa pembeni utaona kuna vipengele vitatu kuna auto installation, manual installation Na nyngn hapo.Auto installation nafanyaje?
Dah sasa niko mbali na Tv, ila bonyeza menu afu utaona setting Afu Kwa pembeni utaona kuna vipengele vitatu kuna auto installation, manual installation Na
Ngoja nijaribu mkuuDah sasa niko mbali na Tv, ila bonyeza menu afu utaona setting Afu Kwa pembeni utaona kuna vipengele vitatu kuna auto installation, manual installation Na nyngn hapo.
Mbaya zaidi simu hawapokei, sms hawajibu, WhatsApp wamekimbiaNyie Azam TV shida yenu ni nini? mbona Channel zote za sports hazioneshi? Toka tarehe 01 August mlivyosema kuwa mnaboresha muonekano na kuongeza channel sports4 hamuonekani hadi leo hii.
Wanajifanya wapo buzy na mapromo ya mpiraMbaya zaidi simu hawapokei, sms hawajibu, WhatsApp wamekimbia