Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Wakuu naomba kujuzwa...
Je, Azam wataonyesha mechi tajwa hapo juu hapo kesho?
Natanguliza shukrani
Je, Azam wataonyesha mechi tajwa hapo juu hapo kesho?
Natanguliza shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nicheck na Bakharesa zen nakurudiaWakuu naomba kujuzwa...
Je Azam wataonyesha mechi tajwa hapo juu hapo kesho?
Natanguliza shukrani
Sawa,fanya hima tujue kipi ni kipiNgoja nicheck na Bakharesa zen nakurudia
Nitafanya hivyo kesho asubuhi na mapema,shukrani mkuuPiga namba hii 0784108000 huduma Kwa wateja Azam Kwa taarifa zaidi na msaada pia
Yusuf SSB ama Mzee SSB mwenyewe?Ngoja nicheck na Bakharesa zen nakurudia
hapana hawataoneshaWakuu naomba kujuzwa...
Je, Azam wataonyesha mechi tajwa hapo juu hapo kesho?
Natanguliza shukrani
Utupe mrejeshoNitafanya hivyo kesho asubuhi na mapema,shukrani mkuu
Wewe ndio unachanganyaTatizo tunachanganya kati ya ZBC 1,2.
Azam sports 1,2,3
ELIMU,
HairushwiUtupe mrejesho
Asante mkuu,channel namba ngapi?Supersport wanaonesha
Hivi inachezwa leo au kesho?Hii gemu nzuri sana wacha tuifatilie leo aisee kama ipo...
Inachezwa muda huu Mamelodi wanaongoza goli tatu pana jamaa wa America ya Kusini katupia mbili mguuni...Hivi inachezwa leo au kesho?