Azam two na janjajanja ya historia ya uhuru

Azam two na janjajanja ya historia ya uhuru

nasaluka

Senior Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
149
Reaction score
184
Nipo naangalia azam two hapa naona namna historia inavyofichwa na nadala yake kutaja historia ya mwalim tu

maana tangia aanze anataja taasisi km AA,TAA lakini hataji viongozi wake na badala yake anataja jina la jumla km vile wazee au vijana ila nafasi ya nyerere huwa inatajwa kwa jina,
mfano ameshindwa kutaja wazee waliopinduliwa uongozi wa AA na hata vijana waliopindua hawajatajwa,
Wamemtaja rupia kuchangia zaid ya thuluthi moja ya nauli ya nyerere UNO lakini wengine hawajatajwa ambao walichangia theluthi 2

kwa maelezo zaid fuatilia azam two
 
nasaluka unajuwa kuwa huu uzi wako ulikosa mchangiaji hata mmoja, mimi ndiyo wa kwanza toka ulipoubandika. Tazama tarehe.

Sasa jiulize, kwanini?
 
nasaluka unajuwa kuwa huu uzi wako ulikosa mchangiaji hata mmoja, mimi ndiyo wa kwanza toka ulipoubandika. Tazama tarehe.

Sasa jiulize, kwanini?
Kuna watu hawatakiwi kupata credit kwa lolote jema walilolifanya kwa nchi yao!
Na hususani watu hao wakinasibika na jamii fulani iwe kiitikadi au kiimani!
 
Ukweli wa historia ya hizi nchi kabla ya Uhuru.ni zenye kufichwa ili watu wasifikilie chochote.waone yanayoendelea ni kawaida tu
 
Back
Top Bottom