AZAM TWO:Tamthilia za saa nne ni za kidini!

Nyuzi kama hizi kila siku zina kuja Jf halafu content bado ile ile naona sasa mods wawafungulie Uzi maalumu wa kulalamika enyi Magalatia maana imekuwa kawaida yenu sasa kulia Lia.
 
Wangalatia mna tabu sana mbona sisi hatusemi kuwa majizo anapenyeza ajenda ya dini yenu na kuuchafua uislamu mda wowote ukifungua tvE unamkuta mtume wenu mwamposa 🤣
 
Huo mgawanyiko labda utakuingia ww mpumbavu, ya kwamba leo umchukie ndugu yako mwenye imani tofauti na yako kisa umeangalia maigizo ya kituruki?
Azam ni wafanya biashara hivyo wao wanaangalia ni maudhui yapi yanayo pendwa na watu wengi ili waingize pesa na sio hizo tumba unazo fikiria.

Alafu mzee Baghareesa amefika hapo kwa akili zake ingekuwa rahisi hata baba yako angewatumia has masikini kuwa tajiri kama Baghareesa.
 
Azam ni mafanyabiashara binafsi mwenye utashi na mwelekeo wake!
Lilieni usawa kwenye taasisi na vyombo vya Umma!

Kanunue king'amuzi chenu Cha TING ula maisha!
Binafsi gani wakati amedhamini ligi?
 
Nilijiambia siku nyingi mno sitanunua hiking kisimbuzi maana Kuna udini mkubwa ndani yake. Kwa nchi isiyo na dini, yenye dini mbili zinazokaribiana usawa kama alitakiwa kubalansi. Niliiona kwenye machaguo ya nini Cha kuonesha, watangazaji gani wa kuonesha nikajua sio kwa ajili yangu nikajisemea tu hapana.
ITV alivyotawala soko hakudhindwa kuweka vitu vya kikiristo tupu, alikua Nina watu pande zote. Niwafundishe maisha yenye balansi. Huu upande mwingine Wala hau angalii. Watu watasema kaajiri wakristo wachache, angalia sababu za kuajiri hao wakristo wachache ni nini?? Utaziona ukitazama kwa macho makali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…