Azam Ukwaju, badilini umbo la bidhaa yenu, wanaume wanapata tabu

Azam Ukwaju, badilini umbo la bidhaa yenu, wanaume wanapata tabu

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Unajikuta mwanaume upo kwenye Hiace, unanunua Ukwaju wa Azam unaanza kushusha taratibu, mara ghafla paap mdada anaingia ndani ya gari na yeye kashikilia ukwaju anaunyonya taratibu, ukimtazama jinsi anaushambulia kwa mashambulizi ya kimya kimya, anauweka mdomoni anautoa, dah!

Yani mwanaume unajiona sijui kitu gani na wewe kulamba ukwaju aiseee. Azam tafadhali, bidhaa yenu ni mtihani kwa wanaume.

Nyie hamjiulizi kwanini wanaume wengi hawatumii Azam Ukwaju.
 
Dar kuna changamoto sana. Dah
IMG-20200116-WA0051.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdada alinunua mbele yangu amenyonya mara moja alivyoona namwangalia si akaing'ata[emoji849][emoji849][emoji849]

Wadada acheni kufanya mambo kua magumu kwa style hyo siwezi kukuamin ata mara moja unyonye [emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nikiona mwanaume ananyonya hiyo kitu huwa namuangalia kwa macho ya tofauti sana

All the good stuff happens outside our comfort zone.
 
Back
Top Bottom