Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mimi ni mdigo wa Tanga na ninajua michezo yote inayofanyika mkwakwani, nataka niwaambie mashabiki wa Yanga kesho hamtaamini macho yenu, huyo mdaka mishale atadhalilika sana kesho, winga ayoub lyanga winga Kipre junior, naogopa sana.
Nje ya uwanja wako vizuri na ndani ya uwanja wana balaa, sijamtaja Sopu.
Nje ya uwanja wako vizuri na ndani ya uwanja wana balaa, sijamtaja Sopu.