Azam wametumika kama ngao ya Simba kwa Feisal

Vijana wa bwana we hujui umafia wa simba na yanga kaa pembeni kunywa maji punguza joto na uache kiherehere
 
Ukiwa Yanga kuna tu akili flani tunafutika kwenye ubongo
 
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko. Viongozi wa timu zote 2 ilizozitaja hawahusishi Wasemaji wa hizo timu? Mashabiki wa hizo timu hata humu JF hujawasikia?
 
Yaani Simba inakuumiza kichwa kiasi kwamba hata ukijikwaa siku utasema Simba walitaka kukuwa
 
Hakika aliewaita utopolo aliwaza mbali sana
 
Huyo unaemzungumzia ni Simba wa Nyikani au Simba Sports Club
We all know story hainogi bila kuihusisha Simba endelea kuota
 
Simba sio waliompa fei mkataba mwepesi, usio na thamani na wa kimaskini.

Hata hivyo Fei kalamba dume. Mkimuuza kashinda, mkimbakisha akakaa benchi kashinda, mkimpa mkataba mpya kashinda.
Ukweliii ndo huu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: Tsh
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko. Viongozi wa timu zote 2 ilizozitaja hawahusishi Wasemaji wa hizo timu? Mashabiki wa hizo timu hata humu JF hujawasikia?
Unataka kusema nn?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmeanza kuhamisha magori sasa? Na mtachanganyikiwa sanaa, Fei hawataki utopwiseee mumuachee asepeee. Lol
 
YANGA MWENZANGU MBONA KAMA UMEPAGAWA? NYUZI YA NGAPI HII LEO KUHUSU SIMBA? TULIA BWANA HUYO FEISAL UMEMPA UMUHIMU MKUBWA SANA. ACHANA UFALA. ACHANA NAYE. YANGA SI YA KULIA LIA KILA SIKU. JIKAZE
Mpe mpe asije kunya kwa utungu.
 
Akiuzwa kashinda kivip wakati Yanga itapata faida

Akikaa benchi kashinda kivip wakat kiwango chake kinaporomoka

Aliyekwambia anapewa mkataba mpya yanga nani
Akiuzwa katimiza atakalo, akikaa benchi ni yeye aliyesababisha kisasi, atakuwa amefanikiwa kivyovyote vile na benchi hakai.Tutarudi kujadili humu.
 
Si mumuuze, ooh yanga kubwa mbona sasa mnatapanya uharo kila pahala.MNACHOSHA.
 
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko. Viongozi wa timu zote 2 ilizozitaja hawahusishi Wasemaji wa hizo timu? Mashabiki wa hizo timu hata humu JF hujawasikia?
Wewe haujui mapungufu ya hawa wasemaji wanaoongoea tu bila miongozo kutoka kwa mabosi wao? Kawaida jambo kama hili Ahmed Ally alitakiwa asilizungumzie kabisa hata baada ya kuulizwa maana halihusiani kabisa na Simba. Yeye jukumu lake ni kuongelea masuala ya Simba ila kwa sababu ya huu utamaduni uliojengeka wa vijembe na kejeli kati ya Simba na Yanga, basi akaona atoe neno.

Kuhusu mashabiki, sijaona mashabiki wa Simba au AZAM popote pale walipoonyesha kumtaka huyo dogo. Simba pale atacheza namba ya nani? Sanasana tumejaribu kuwakumbusha Yanga uungwana na ustaarabu kumuachia huyo dogo hata kama mnaona amekosea. Au unadhani tuna agenda ya siri kwa kuwashauri hivyo?
 
Mtasingizia Simba au Azam. Jiulize kwanini iwe Yanga tu? Yanga boresheni mazingira na mishahara ya wachezaji wala msisingizie timu. Yanga ndiyo tatizo.
Simba ipanda ndege inaenda Dubai, kipindi kile ilienda kambi Misri, azam ikaenda pia Misri.
Jiulize wachezaji wa Yanga wanaenda wapi? Unafikiri hawapendi kupanda ndege km wenzao? Wachezaji msimu wote wanapiga kambi Tanzania tena Mtwara huko vijijini. Wachezaji wa Yanga wakipanda ndege wanaenda kwenye mechi.
 
wewe ni simba wacha kutupoteza maboya
Kwanini iwe Yanga na isiwe Simba au Azam?
Boresheni mazingira na mishahara ya wachezaji. Wachezaji msimu mpk msimu wa ligi mnawapigisha kambi hapa bongo. Wenzao wanaenda Misri, dubai n.k kwenye mapumziko.
Hata huyo Mayele, ataondoka muda si mrefu. Wachezaji ni wafanyakazi.
 
Mbona una haraka ..kesho sio mbali.... Hakuna kisicho vunjika hapa ...uto watakaa na fei watamaliza na fei atapenda ktk uzi mwekundu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hata mkishindwa kuwafikisha wake zenu kileleni lawama kwa Simba. Pambaneni na hali yenu,Fei ameshasema kuwa hataki tena kuichezea Yanga bora akawe mvuvi au mkwezi kuliko kuichezea Yanga.
 
Akiuzwa kashinda kivip wakati Yanga itapata faida

Akikaa benchi kashinda kivip wakat kiwango chake kinaporomoka

Aliyekwambia anapewa mkataba mpya yanga nani
Alikwambia hichi kilio alichowapa alikitoa bure? Pesa yake inameremeta kwenye akaunt.
 
Ukweliii ndo huu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fei kajua kuwabinya, kuna kamlio wamekatoa kamesikika kila sehemu nchini, hata huko FIFA si bure wamekasikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…