Kally ndio wanacheza uwanjani? hivi huwa mnatumia vijambio kufikiri?Kally mangonga ongala wnajuta huko aliko kuuza mechi ya yanga kwa milioni tano
Pumbavu sana wewe,hujui nafasi ya kocha kwenye mechi,yete ndio anapanga team,tactics na technics za kushinda game sasa unashangaa nini,kwa nini team ikifungwa analaumiwa kocha sio wachezaji,huna akili na mpira umeujulia ukubwaniKally ndio wanacheza uwanjani? hivi huwa mnatumia vijambio kufikiri?
Hasira za kubanjuliwa kwenye ligi pamoja na FA Cup.Kalimangonga ongala siku zake zote pale Azam alihakikisha Yanga inapata ushindi..... acha wamfagilie mbali kabisa hafai kabisa....
azam hawewezi kuchukua mataji mpaka wajivue usimbaTimu hii mwaka jana ilisifiwa sana kiasi kwamba wengine tulidhani itafika mbali sana.Ukweli walichojitahidi tu ni kuondoa unyonge wao dhidi ya Simba.Na hapa tuliona kocha aliyekuwa na mapenzi na yanga akifanya kila liwezekanalo kuifunga Simba na kuwalegezea yanga ili asaidie kutengeneza historia nzuri ya timu anayoipenda na sio kazi yake.
Azam mnapaswa kuweka mikakati ya kubeba makombe na siyo proganda hizi tunazosikia mara ooh wameng'oa chuma Raja wakati ni mchezaji hata hakupewa nafasi kubwa pale Raja.
simba 2-0 utohHasira za kubanjuliwa kwenye ligi pamoja na FA Cup.
Mbona wanaifunga sana simba?azam hawewezi kuchukua mataji mpaka wajivue usimba
Mngeibanjua na Azam basi, mechi tatu hola.simba 2-0 utoh