Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwatishe makolo kiasi hikiYanga huwa hafungwi mara 2 na timu moja hayo mambo kazoea kolo kufungwa mfululizo na timu moja coz kisha fungwa mara nne mfululizo na yanga na machi 8 anaenda kufungwa mara ya 5
Poleni kwa musiba ndg zetuKumbuka bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu.
tunakutuma utakapokutana na yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
Wewe mwenzetu kwa mara ya mwisho ulimfunga lini? Maana inashangaza kila siku unawatuma tu wenzako! Na wakati mwingine unadiriki hadi kuwapangia makocha wa timu nyingine wachezaji wa kuanza wakikutana na hiyo Yanga!Kumbuka bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu.
tunakutuma utakapokutana na yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.