Azam wewe ni ndugu yetu wa damu, tunakutuma ukamfunge Yanga mtakapokutana

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Kumbuka Bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya Simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu.

Tunakutuma utakapokutana na Yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
 
Yanga huwa hafungwi mara 2 na timu moja hayo mambo kazoea kolo kufungwa mfululizo na timu moja coz kisha fungwa mara nne mfululizo na yanga na machi 8 anaenda kufungwa mara ya 5
Usiwatishe makolo kiasi hiki
 
Kumbuka bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu.

tunakutuma utakapokutana na yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
Poleni kwa musiba ndg zetu
 
Kumbuka bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu.

tunakutuma utakapokutana na yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
Wewe mwenzetu kwa mara ya mwisho ulimfunga lini? Maana inashangaza kila siku unawatuma tu wenzako! Na wakati mwingine unadiriki hadi kuwapangia makocha wa timu nyingine wachezaji wa kuanza wakikutana na hiyo Yanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…