OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Teh!
Wameshindwa kuifunga pamba Jiji, walichoambulia ni Red card.
Niliwaambia Azam FC kuna magarasa, Soma Pia Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy
Pia Pamba jiji ipo vizuri mkabisha haya sasa Pamba Jiji naiona kama vile ilikuwa ligi kuu misimu minne, wakikaza watasumbua sana
Mechi mbili point mbili azam bhana
Wachambuzi wa mchongo mpo?
Wameshindwa kuifunga pamba Jiji, walichoambulia ni Red card.
Niliwaambia Azam FC kuna magarasa, Soma Pia Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy
Pia Pamba jiji ipo vizuri mkabisha haya sasa Pamba Jiji naiona kama vile ilikuwa ligi kuu misimu minne, wakikaza watasumbua sana
Mechi mbili point mbili azam bhana
Wachambuzi wa mchongo mpo?