OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wewe ndio Lofa.Azam ni timu ya kichoko sijawahi kuona. Aliyenidanganya nimuweke kwenye mkeka sijui ni nani tu? Hovyo kabisa.
Mzee Bakhresa inabidi awapeleke wachezaji wa litimu lake wakakande maandazi usiku ili wajue ni namna gani pesa za kuwalipa mishahara huwa anazipata kwa taabu sana.Wewe ndio Lofa.
Unamuwekeaje dhamana Azam?! Mule hakuna timu, ni kikundi cha kusindika 'Ngano' na kutengeneza 'Ice Cream'
ile ni foul. sema unaweza take it as advantage. ligi kuu kazi ipo msimu huuHebu nielezeeni lile kwa nini halikua goli ikawa faul,? Navyojua mtu akichezewa faul refa hutoa advantage kwa timu husika kama bado wanaumiliki mpira.
huu msimu point 3 lazima ukaze. simba wamepewa point bure kabisa. sema we will seeTeh!
Wameshindwa kuifunga pamba Jiji, walichoambulia ni Red card.
Niliwaambia Azam FC kuna magarasa, Soma Pia Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy
Pia Pamba jiji ipo vizuri mkabisha haya sasa Pamba Jiji naiona kama vile ilikuwa ligi kuu misimu minne, wakikaza watasumbua sana
Mechi mbili point mbili azam bhana
Wachambuzi wa mchongo mpo?
Hamna timu mle, Mzee Bakhresa wanamlia hela zake tu.Teh!
Wameshindwa kuifunga pamba Jiji, walichoambulia ni Red card.
Niliwaambia Azam FC kuna magarasa, Soma Pia Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy
Pia Pamba jiji ipo vizuri mkabisha haya sasa Pamba Jiji naiona kama vile ilikuwa ligi kuu misimu minne, wakikaza watasumbua sana
Mechi mbili point mbili azam bhana
Wachambuzi wa mchongo mpo?