Azam yajitoa udhamini wa pombe!!?

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,508
Reaction score
11,897
Napenda kumpongeza mmiliki wa timu ya AZAM kwa kukataa kushiriki katika mashindano yanayodhaminiwa na TUSKER-2009.Umeonyesha imani thabiti katika dini yako si kuwa mnafiki kama MATAJIRI AU WANASIASA WENGINE.Pia BAKWATA wametangaza au kupiga marufuku kwa binti wa kiislamu kushiriki mashindano ya u miss tanzania.
 
Watajua wenyewe na sheria zao bana hakuna kinachopungua hapo! Lete serengeti baridi moja hapa sbl!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…