Azam yaonjeshwa ladha ya ligi kuu ya mabingwa

Azam yaonjeshwa ladha ya ligi kuu ya mabingwa

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Klabu ya Azam fc yaonjeshwa ladha ya mchezo wa ligi za mabingwa kwa kupokea kichapo cha bao nne kwa moja dhidi ya wenyeji wao Wydad Casablanca inayoongozwa na aliyekua kocha wa Mamelod Sundowns, Rulan Mokwena katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25, Hata hivyo azam inatarajiwa kushiriki michuano ya mabingwa Afrika msimu ujao.
IMG_2485.jpeg
 
Ilikuwa ni wastage of ushabiki wa soka kushangilia Azam kushika nafasi ya 2 kwenye NBCL ili wakashiriki CAFCL.
 
Back
Top Bottom