Azam Yawabamiza Police Tanzania 8-0, Polisi watishia kuwalaza selo kwa udhalilishaji

Azam Yawabamiza Police Tanzania 8-0, Polisi watishia kuwalaza selo kwa udhalilishaji

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,548
Reaction score
9,740
Huko kunako viwanja vya Azam complex Chamazi, Matajiri wa chamazi wamewakandamiza Polisi Tanzania 8-0, huku Prince Dube akipiga goli 4 peke yake,

Hii ni match yenye magoli mengi zaidi katika msimu huu
Screenshot_2023-06-09-17-37-22-692_com.mobilefootie.wc2010.jpg
 
Azam unafananisaha na taka taka

Aka de Kolo wizard [emoji23][emoji23]
 
Safi sana! Timu za Serikali zinaongeza wingi tu ktk League. Zipungue!
 
Poliso sio kuwa wanashuka, bali wanashuka kwa aibu...
 
Back
Top Bottom