AzamTv kama wanaweza kuwekeza kwenye ligi ya kenya watakula bingo

AzamTv kama wanaweza kuwekeza kwenye ligi ya kenya watakula bingo

Akotia

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
528
Reaction score
1,241
Wakenya hawana kitu cha kuwashughulisha sana,tabaka la chini la Kenya wanaipenda sana ligi yao ila hawana support.

AzamTv wakiwekeza mpunga kwenye ligi ya kenya hasa wakiweza kuproduce live,pia wastream kwenye app yao kwa kushirikiana na media za kenya atapata pesa bila ya kua na king’amuzi Kenya. Yeye ana produce na kidestribute kwenye app yake,decoder zake na kuwauzia tv za Kenya ambazo naamini zitahitaji Huduma zake. Ligi ya Kenya ni Mchongo.
 
.Akianza au akiboresha
.Mechi zao wanachezea kwenye majaruba ya mpunga yani
.Hawatamvunjia kamera zake?
.Alipoonyesha mechi hawataandamana?
#Wakenya wawekeze kwenye riadha tu
 
Awekeze mara ngapi, mbona Azam anaonesha KFL
 
Back
Top Bottom