AzamTV Max wanakiuka taratibu za Play Store katika malipo

AzamTV Max wanakiuka taratibu za Play Store katika malipo

Kang

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2008
Posts
5,655
Reaction score
2,506
App za Play store zinabidi zitumie Google Play Subscriptions kwa ajili ya malipo na subscriptions kasoro zile app zinazouza physical goods na services zengine sio za kidigital, lakina naona Azam ukitaka kulipia wanakupeleka site isiyoeleweka ukajaze details zako zote huko hii sio sawa.

Hata site ya PayPal nayo inatia mashaka maana hauwezi kuona url ya website unaona logo tu, hauwezi kujua kama ni PayPal kweli!
 
Je, ningependa kufahamu kuna tofauti gani kati ya wanachokifanya AzamTV max na huduma nyingine za kutiririsha maudhui kama vile: Showmax, Netflix, Disney Plus, Prime video, DStv stream n.k.?

Wote wanakupeleka off site na malipo yao hayafanyiki kupitia Google Play Subscription.
 
App za Play store zinabidi zitumie Google Play Subscriptions kwa ajili ya malipo na subscriptions kasoro zile app zinazouza physical goods na services zengine sio za kidigital, lakina naona Azam ukitaka kulipia wanakupeleka site isiyoeleweka ukajaze details zako zote huko hii sio sawa.

Hata site ya PayPal nayo inatia mashaka maana hauwezi kuona url ya website unaona logo tu, hauwezi kujua kama ni PayPal kweli!
Mbona Spotify wanakupa option mbili, ya google play subscription pamoja na ku link card
 
Wakifanya hivyo google watachukua 30% ambayo utailipa wewe... bei ya kifurushi itaongezeka
 
Je, ningependa kufahamu kuna tofauti gani kati ya wanachokifanya AzamTV max na huduma nyingine za kutiririsha maudhui kama vile: Showmax, Netflix, Disney Plus, Prime video, DStv stream n.k.?

Wote wanakupeleka off site na malipo yao hayafanyiki kupitia Google Play Subscription.
Disney na Prime zina in app purchase.
Netflix haina kabisa njia wala link ya kulipia kwenye app inabidi uende mwenyewe kwenye site yao ukalipie hii inaruhusiwa cha muhimu usilink site ya nje kulipia.
Sioni showmax na dstv app yao inaganda kwenye loading so siwezi kusema lakini ninavyoelewa Dstv unaweka smartcard namba yako haupelekwi kwenye site ya kulipia, hii inaruhusiwa.
 
App za Play store zinabidi zitumie Google Play Subscriptions kwa ajili ya malipo na subscriptions kasoro zile app zinazouza physical goods na services zengine sio za kidigital, lakina naona Azam ukitaka kulipia wanakupeleka site isiyoeleweka ukajaze details zako zote huko hii sio sawa.

Hata site ya PayPal nayo inatia mashaka maana hauwezi kuona url ya website unaona logo tu, hauwezi kujua kama ni PayPal kweli!
Sheria za umoja wa ulaya zimewabana waondoe kitu hiki
 
Cha kushangaza zaidi ukienda kwenye App ya Azam iPhone wameweka Apple Subscriptions kama inavyotakiwa, inaelekea Apple waliwakamata mapema!
 
Sheria za umoja wa ulaya zimewabana waondoe kitu hiki
Hata mimi nafikiri ni vizuri kuwa na option ila Play subscription nayo iwepo, maana hizi za nje wakishapata card namba yako kucancel inaweza kuwa mziki.
 
Hata mimi nafikiri ni vizuri kuwa na option ila Play subscription nayo iwepo, maana hizi za nje wakishapata card namba yako kucancel inaweza kuwa mziki.
Tumia virtual card mfano ya airtel weka pesa inayotakiwa ulipe ikishindkana kucancel watakuta hakuna kitu
 
Back
Top Bottom