Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
😅 😅 😅 watakuja haters kusema sisi sio mabingwaTujuane. Shule ya mabingwa O-level.
Waje tu. Mabingwa ndo wanasoma pale.😅 😅 😅 watakuja haters kusema sisi sio mabingwa
Shule inayoongoza kwa mabifu😅Waje tu. Mabingwa ndo wanasoma pale.
Aaah kumbe master na ww azaboydaah kitambo sana 2004
Pembeni kuna jangwani girls.Shule inayoongoza kwa mabifu😅
Dah chaputa kapitia hapa.daah kitambo sana 2004
1/2 nilipiga Class-EAaah kumbe master na ww azaboy
Wake zetu❤️Pembeni kuna jangwani girls.
1/2 nilipiga F-(french)1/2 nilipiga Class-E
3/4 nilipiga Class-L
Sikupita hata na mmoja, najua hutaamini.Wake zetu❤️
Sisi tulikuwa tunawaita Ngamia
nilikuwa nawaogopa kweli, nilikuwa domo zege kinomaWake zetu❤️
Sisi tulikuwa tunawaita Ngamia
aisee, huna mke na watoto kweli😂daah kitambo sana 2004
😅 😅Sikupita hata na mmoja, najua hutaamini.
😂 😂 😂 mwaka unaozaliwa kumbe uo eehaisee, huna mke na watoto kweli😂
daah, mmeanza unga vikojoleo mda kumbe eeh😅 😅
Nilipata mmoja jangwani, wawili Zanaki.