Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!


- Mtazamaji the Azimio tatizo lake kubwa ni kwamba sio tu limeshindwa kutupa mwongozo as a nation, isipokuwa the worst of all, lime-create a big confusion in our society kwa sababu everything it stood for was unrealistic, I mean huwezi kusomesha wananchi bure, huwezi kuwafanya wananchi wote wakafikiria sawa, huwezi ukawafanya wananchi wote wakawa na vipato sawa, huwezi kuwafanya wananchi wote wakawa na mali sawa, it is impossible na very against human nature!

- Haya ndio mambo baba wa Capitalism Martin Luther aliyakataa kabisaa kule kwenye kanisa la Catholic, na wao walitaka theory za namna hii, binadam anashamiri akipewa nafasi kufanya mambo yake individually huku Serikali ikimuongoza kwa kumuweka sawa kisheria, Binadam anashamiri akiruhusiwa ku-compete na wengine sio kulazimishwa kuwa sawa na wenziwe tena kwa nguvu, Binadam anashamiri akiruhusiwa kuamini anachotaka, lakini sio kulazimishwa kuamini siasa asizozitaka, Azimio did stand for all these wrongs ndio maana kwa wale wengine tulioliona tunashangaa sana kusikia kuna wanaoamini kwamba lilikuwa na good ideas?


I mean Really? what good ideas kama hata the Author could not figure out how to use for the good of our nation? Halafu tizama akasubiri ame-retire and then akaanza kuwashambulia waliobaki kwa kutumia maneno yale yale ya the failure Azimio, that was very wrong na very unfair, under Azimio tukaambiwa kujadili Muungano ni uhaini, tukaambiwa kujaidli Dini ni uhaini, I mean look now,

- Azimio la Zamnzibar, ninaamini tupo sawa nalo kwenye uchumi, isipokuwa kwenye Sheria tu bado tupo nyuma sana, lakini pole pole tutafikia muhimu ni Uchumi kwanza ambao tupo samba mba nao sana!


William.
 
Kuna watu wanaamini kuwa....
Mzungu asipoongea basi yeye hawezi kusikia! Asipoonesha basi yeye hawezi kuona!
Asipobuni basi ubunifu ndio umeisha!
Akifa basi na yeye ameshakufa!
Embu tujiulize....
Ni lini Tanzania inaweza kupata mtaji wa kuwekeza kwenye visima vya mafuta uarabuni?
Na ni lini Marekani na wenzake ataruhusu serikali huru za kiafrika?
Mbona hata mashuleni tunafundishana UKOLONI MAMBOLEO, je ni kupotezeana muda tu?
MZUNGU NANI KWETU?
Umri wangu mdogo, labda nitaona mengi bado! Lakini under capitalism, "maisha ni marefu sana lakini ni mabaya mno"
Mungu wetu anaita!
 
Who are you?
What makes you think that you are speaking for the masses? ... what do you do? labda wewe ni mungu au shetani au kiumbe flani a bit powerful than human beings but you can't just say it won't come back!! people can make it come back, it's just a matter of time.
 


Wiliam katika kupambana na challenge na vikwazo vya maendeleo cofusion haziishi. The best way ni kutatua cofusion for the interest of a nation na wananchi. Sasa kama azimio lilikuwa confusion kwa wananchi mbona limetengezwa azimio kuodnoa confusion kwa viongozi tu. Unajua hata baada ya kuachana na azimio bado wananchi wako confused ukiondoa viongozi na wa kisiasa waliojiwekea mazingira ya azimio la zanzibar


Kuhusu
  • kusomesha watu bure , au kutibu watu bure hiyo ni choice na priority iiyofikiwa kutokana na challnege ziizokuwepo kipindi fulani. Na sidahni kama ni hard rule kuwa azimio la arusha ni watu kusoma bure watu.Katika uhai wa azimio lilkuwa reviwed na kuna vitu vilirekebisiwha
  • Kuhusu watu wote kufikria sawa ni governmet of the day ndiyo inaimpliment policy zake no matter watu wengine wanafikria nini. Ni Leadership ndiyo inatakiwa kutoa (direction) Sasa CCM hata alama zake ni jembe na nyundo. Unaweza kutoa sababu kwa nini hata baada ya kuuliwa azimio mkuima wa mahindi Rukwa awekewe vikwazo kuuza mahindi Zambia . Lakini kiwanda cha mtibwa hakizuiwi kuuza sukari nje ya nchi wakati tanzania kuna uhanaba wasukari . Mkulima anazuziwa kuuza mahindi zambia kupata bei bora sababu mambo hayo hayo uinayopinga "ya kjamaa"na kusema yamezikwa


Nimekupa mfano wa competiton ya mazao ya chakula kwa wakulima wa Rukwa. Wanapozuiwa kuuza mahindi yaozambia huo ni ujamaa au ndio free maket economy na competiotion. Au wanaofanya hivi wanafuata azimio la arusha

Binadam anashamiri akiruhusiwa kuamini anachotaka, lakini sio kulazimishwa kuamini siasa asizozitaka, Azimio did stand for all these wrongs ndio maana kwa wale wengine tulioliona tunashangaa sana kusikia kuna wanaoamini kwamba lilikuwa na good ideas?

  • Uhuru una mipaka yake
  • Katika society kuna leadership
  • Good Leader must have A VISION

Na kama azimio lilisimamia all those wrongs vipi wrongs zilizopo sasa ambapo Limefukiwa. Kingine W. J. Malecela cha muhimu labda unachambua -ve za azimio huku Ubongo wako ukiwa 2012. Go back to 1961. Leohii watu bado wanalamika wachaga,wahaya, wanyakuyusa .Hata baada ya juhudi hizo .Sasa jiulize. si hapa ungekuwa unaliponda zaidi azimio.

Kwa mazingira yale, wakati ule It was the right choice. Hata sasa bado ni right choice with some adjustments

Aisee kumbe kwenye azimio imo hiii Duh

- Azimio la Zamnzibar, ninaamini tupo sawa nalo kwenye uchumi, isipokuwa kwenye Sheria tu bado tupo nyuma sana, lakini pole pole tutafikia muhimu ni Uchumi kwanza ambao tupo samba mba nao sana!

William.

Hahha kwa hiyo hili pole pole KWA Azimio la Zanzibar tutafika. Na kwenye sheria hili azimio La zenj tupo nyuma sababu ya Azimio La arusha . Au sio????

Yaani azimio linawatayarishana kuwasfishia njia viongozi wa umma kuwa mabepari badala nguvu hizo zingelelekezwa kuwaodolewa confunsion wananchi ili wawe mabepari.

Unajua hata Mobutu aliwai kuwaambia wananchi wake anayetaka kujenga Ufaransa au ubelgiji RUKSA. Reaaly ........ Lakini ukweli ni kiini macho kwamba ili yeye kiongizi tena wa uumma akijenga Paris basi iswe issue. Kwani kuna mtu anahoji mtu binafsi kuwa tajiri ?

Hata kiongozi wa umma kuwa tajiri sio kosa .Lakini kwa nini iwe siri mali zao na walizipataje ? Unarudi kwenye Sheria ya maadili ya VIONGOZI.
 


Inzi,
The problem you guys are having is to try to convert us and accept that Azimio Arusha is a fabulous document and all Tanzanians should rally behind it. That’s a tall order to achieve because majority in your camp don’t read and understand Azimio la Arusha in its entirety. They don’t know what is Ujamaa and what’s AD. So instead of looking for new converts, you need to educate your own supporters.

In addition, we have two sold philosophical camps here. Probably this is the best outcome of Azimio la Arusha, a political spectrum. Those who support should go to the left (wajamaa) and those who don’t should go to the right (wabepari).

Cau

Z10
 
why do you think AD is not a philosophical document? or that depends on your definition of philosophy
but it is a philosophical document.

You are streching. Aren't you? It seems to me you haven't read AD.
 
Kobello,

...Labda hili ndio lilikuwa tatizo -kwao wao- lililopelekea kununiwa na kususiwa -lacking a better word- na hivyo kutokuwa na mahusiano yenye faida zaidi kiuchumi. And if i may, labda ile total nationalization ilikuwa too distasteful to them.

...With benefit of hindsight, nadhani "left" ya kifaransa ingefaa zaidi, IMO.
 
...Seems like, it was not a bluff.
 
...Hii kazi sio ilifanywa na Deng?

...Mao si ndiye aliyekuja na cultural revolution? I think, he was a sadist of the highest degree.
Vilevile ushirikiano wa China na Tanzania ilikuwa ni strategy ya wachina katika siasa zao nje. Vyama vyote vya kijamaa duniani vilikuwa kwenye umoja Com-Intern.
...True. ...Ok. ...Kwanza, nadhani tatizo au rather chanzo ni africanization. Pili, vijiji vya ujamaa si China au Urusi tu. Hii ilikuwa au na hata sasa -inategemea tafsiri yako- ilikuwa almost kote Ulaya -ili kuweza leta maendeleo kwa haraka na kujilinda. Makes me remember Kibbutzim.
Vilevile Taiwan ndio iliyokuwa inawakilisha China kwenye umoja wa mataifa. China ikatumia nchi za dunia ya Tatu kama Tanzania kupata support ya kupewa kiti cha kuwakilisha China na vilevile kupewa kura ya veto.
...True.
Hivyo mawazo ya mChina yalikuwa sio kujenga reli ya uhuru. Alikuwa na maslahi yake binafsi.
...You can say this, again!
 

JLF,

I have read African history to some extent, and I can tell you that we were just brutal as any civilazation. Take for example Mirambo. He wasn't even a king, but through his business deals and military skills he became one just like Lowassa and JK. So the notion that black forks were innocent doesn't add up.
 
Even better, a scandnavian model is the best to me. The highest standard of living can be found in socialist states, not capitalist states.
 

Right !!!!!!!!!! Now you assert that every decration made and signed by a political party is indeed a philosophical document.
 
Right !!!!!!!!!! Now you assert that every decration made and signed by a political party is indeed a philosophical document.
Wrong!!!!!!!
Kwa mfano, falsafa ya nguvu ya umma na itikadi ya mlengo wa kati.
Nguvu ya umma is not a philosophy!!, you have to explain to us people's power in what? How are you going to invest power to the people? Under what philosophy and how did you come up with such a philosophy? Ndiyo maana nasema CDM huwa hawaeleweki unless uwe si mtu makini.
 

Hard work is a personal choice why should it be in a national declaration for greatness. People don't work hard for sake of it. They work hard if there's incentive to do so.

Between 1970-1980 when AA was the rule of the land, productivity in Tanzania was down by more than 50%. If hard work is one of your principle, we should have done better back then.
 
Even better, a scandnavian model is the best to me. The highest standard of living can be found in socialist states, not capitalist states.
...I may need some more salt, for this food to go down. Au, tafsiri ndio inanigomba?

...I'm more comfortable with the french definition of this monster. And i do envy the Nordics.
 

AD wasn't a philosophical treatise, and it wasn't intended to be one. However, I am not here to infringe your opinion or that of Iron Lady.

Now concerning CDM, they claim to be Center Right. But I believe it isn't for a political stance. It's for show only.
 
I respect your view.







Arusha Declaration (1967) Commentary by James Ellison, Dickinson College



The Arusha Declaration of 1967 was written principally by Julius Nyerere, the first president of Tanzania, and approved by an executive committee of the Tanganyika African National Union (TANU), the new nation's governing party. The declaration was published just over five years after Tanganyika gained independence from Great Britain, who had governed the territory since 1920 under mandates from the League of Nations and then the United Nations. Tanganyika and Zanzibar united to form Tanzania in 1964. The Arusha Declaration represents the philosophy developed by Nyerere and the Tanganyika African National Union as they worked to bring economic and social development to their impoverished country and navigate the complex global economic and political arena. The declaration outlines policies that together constituted "Ujamaa," Tanzania's unique version of African Socialism, and explains in accessible regional idioms how the citizenry and state policies should work to address...


 
Even better, a scandnavian model is the best to me. The highest standard of living can be found in socialist states, not capitalist states.

Have you lived there? I lived in Sweden some years ago, and I can tell you that they pay a hell of taxes. In addition, they are very liberal. For example, the prime minister of Sweden can't impose his will upon majority because he or she is educated. They understand human rights and freedom to choose.
 


Kwikwikwi,

Even Dickson says that The AD REPRESENTS PHILOSOPHY ... He doesn't say The AD IS A PHILOSOPHY. Anyway, my past time activity is to ready the work of socialist leaders. One common thread about them is everybody tried to write something and everybody was philosopher. Kim Jong Sun, Mao Tse Tung, Nyerere, Sekou Toure, etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…