Azimio la Umoja yasema maandamano ya Siku 3 bado yapo, hakuna wa kuwazuia

Azimio la Umoja yasema maandamano ya Siku 3 bado yapo, hakuna wa kuwazuia

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Muungano wa Azimio la Umoja umesisitiza kuwa mpango wa maandamano ya Julai 19 hadi 21, 2023 ili kupinga ongezeko la gharama za Maisha unaendelea licha ya onyo kali kutoka viongozi mbalimbali wa Serikali, wakiwemo Rais William Ruto na Naibu wake Rigathi Gachagua

Kiongozi wa Umoja huo Bungeni, Opiyo Wandayi amesema hawataogopa kutekeleza majukumu yao ya Kikatiba ya kufanya maandamano ya amani, na hakuna Mamlaka inayoweza kuwazuia, awe Rais William Ruto au taasisi yoyote

Aidha, amesema kuwa harakati za kukusanya saini za kumuondoa Rais Ruto madarakani zinaendelea na zitafanyika pamoja na maandamano hayo, ambapo hadi sasa tayari saini Milioni 1.2 zimekusanywa


......


Azimio maintains three-day protests still on, says nobody has the power to stop them

Azimio maintains three-day protests still on, says nobody has the power to stop them

Minority leader Opiyo Wandayi.
The Azimio la Umoja One Kenya coalition has asserted that the plan to hold anti-government protests from Wednesday to Friday is still on despite stern warnings from the government.

Speaking at the Jaramogi Oginga Odinga Foundation (JOOF) on Monday, National Assembly Minority Leader Opiyo Wandayi stated that they will not cower from exercising their constitutional mandate of holding peaceful protests.

The Ugunja MP argued that no authority can bar them from holding the planned protests, be it President William Ruto or any institution.

"The peaceful protests planned for Wednesday, Thursday and Friday this week are on as earlier declared by our leaders. These protests will go on in line with Article 37 of our Constitution which provides for freedom of peaceful assembly and picketing and no authority has got the power to suspend the operations of Article 37, no person, authority, agency, not William Ruto, Kithure Kindiki, not Rigathi Gachagua," he said.

"No person and anybody purporting to stop demonstrations is deluding themselves because they have no power."

At the same time, he said that the signature collection drive to oust President Ruto is still on course and it will happen simultaneously with the protests.

"We can also confirm that the signature collection is going on and it will proceed side by side with the protests. This exercise is also protected under Article 1 of our Constitution," he said.

As of July 11, Azimio la Umoja leader Raila Odinga stated that the drive had fetched over 1.2 million stamps.

Source: Citizen Digital
 
Back
Top Bottom