Aziz K, Aucho, Diarra Ndani

Hasira za nini sasa. Basi tuchukue umeshinda basi

Au hujaona lile goli la Msuva kumbuka kijana wa Yanga yule I predict next time Ballon dor itamhusu Msuva.
 
Naangalia mechi kati ya Gabon vs DR Congo! Hatimaye Mayele ametetema. Hatari sana. Magoli yake ni ya aina ile ile.
 
Naangalia mechi kati ya Gabon vs DR Congo! Hatimaye Mayele ametetema. Hatari sana. Magoli yake ni ya aina ile ile.

Anakupiga cha kushtukiza chapu Imo muulize manula na Kakolanya wanamfahamu vizuri.
 
Usisahau Mayele ametetema Gabon na kupiga chuma cha Pili.
 
Hayo ndiyo mambo yanakwamisha timu ya taifa hadi kupelekea kuachwa kwa watu muhimu kama Kapombe. Goli lilikuja baada ya kutoka kwa Mudathir na kuingia kwa Mzamiru, hilo unaliongeleaje?
Upo sahihi japo mimi ni shabiki wa Yanga ila mambo kama haya hayafai kwasoka letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…