Aziz Ki Kashinda Tuzo Mchezaji Bora wa Mwezi April

Aziz Ki Kashinda Tuzo Mchezaji Bora wa Mwezi April

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga ya Dares Salaam, Stephane Aziz Ki amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya NBC huku Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Abdallah Mohammed, akichaguliwa Kocha Bora wa mwezi huo.

Kikao cha Kamati ya Tuzo za TFF kilichokutana Dares Salaam Jumamosi Mei 6, kilimchagua Ki, baada ya kuonesha kiwango kizuri kwa mwezi Aprili na kutoa mchango mkubwa kwa Yanga, ikiwa ni pamoja na kufunga mabao matatu katika dakika 135 alizocheza kwa michezo miwili akiwa na Yanga.

F496C291-0847-4C39-8A0C-D180132DA746.jpeg
 
Ki Aziz,,,, ile kukunja bukta ndo maelekezo ya kamati ya ufundi
 
Picha ya aziz k
Samahani lkn [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Back
Top Bottom