Aziz Ki ni garasa yaani hamna kitu Yanga wamepata hasara

Aziz Ki ni garasa yaani hamna kitu Yanga wamepata hasara

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Nimeshangaa sana yaani mchezaji wa kigeni ambaye ni proffessional na amewahi kuwa MVP wa nchi anacheza utumbo tu na kocha hamuoni.

Kutuliza mpira hawezi

Kupiga pasi hawezi

Kila akijaribu ku dribo ananyang'anywa mpira

Kila muda anapoteza mpira yeye tu

Yanga wangekuwa na akili wangemuuza tu kitendo cha kumbakisha kitawakosti

Kitu pekee anachoweza labda kupaka mableach na kuvuta shisha.

"Ukinuna uwe una sababu"
 
Tatizo la kufatilia mpira ukubwani Aziz huyu huyu anae wabandua makolo unasema hajui boli
20241103_155321.jpg
 
Wivu wanini mkuu, Unajua TP Mazembe wameshazoea kuliwa Vi3 na sisi.
 
Nimeshangaa sana yaani mchezaji wa kigeni ambaye ni proffessional na amewahi kuwa MVP wa nchi anacheza utumbo tu na kocha hamuoni.

Kutuliza mpira hawezi

Kupiga pasi hawezi

Kila akijaribu ku dribo ananyang'anywa mpira

Kila muda anapoteza mpira yeye tu

Yanga wangekuwa na akili wangemuuza tu kitendo cha kumbakisha kitawakosti

Kitu pekee anachoweza labda kupaka mableach na kuvuta shisha.

"Ukinuna uwe una sababu"
We endelea..!! Sisi tupo bize na TRA (Touch, Release and Attack) yetu


1736059641380.png
 
We endelea..!! Sisi tupo bize na TRA (Touch, Release and Attack) yetu


View attachment 3192918
Alibakwa kinyama mno
Hakukua na huruma,ilikua ni kushindiliwa miti tu
 
Shobo hizo, nimekukwoti wewe??
Yeye kasema makolo wanabanduliwa kwahiyo kumuuliza yeye anabanduliwa na nani kimekuuma?? 🤣
😀 😀 😀 😀 .. Hupendi kushobokewa mtoto wa kike..!!?? Yaani kama ingekuwa kila mtu amjibu aliyemkwoti tu, kusingekuwa na mjadala.
 
Back
Top Bottom