Huyu mke mkubwa waga ana wivu sana yeye hua tuna mgonga vitano lakini akisikia tu wenzie wamegongwa viwili,vitatu au vinne anaumia moyo vibaya sana..Wivu wanini mkuu, Unajua TP Mazembe wameshazoea kuliwa Vi3 na sisi.
π€£π€£π€£Huyu mke mkubwa waga ana wivu sana yeye hua tuna mgonga vitano lakini akisikia tu wenzie wamegongwa viwili,vitatu au vinne anaumia moyo vibaya sana..
We endelea..!! Sisi tupo bize na TRA (Touch, Release and Attack) yetuNimeshangaa sana yaani mchezaji wa kigeni ambaye ni proffessional na amewahi kuwa MVP wa nchi anacheza utumbo tu na kocha hamuoni.
Kutuliza mpira hawezi
Kupiga pasi hawezi
Kila akijaribu ku dribo ananyang'anywa mpira
Kila muda anapoteza mpira yeye tu
Yanga wangekuwa na akili wangemuuza tu kitendo cha kumbakisha kitawakosti
Kitu pekee anachoweza labda kupaka mableach na kuvuta shisha.
"Ukinuna uwe una sababu"
Wewe anakubandua nani? π€Tatizo la kufatilia mpira ukubwani Aziz huyu huyu anae wabandua makolo unasema hajui boliView attachment 3192387
Unalolitafuta utalipata..!!Wewe anakubandua nani? π€
Shobo hizo, nimekukwoti wewe??Unalolitafuta utalipata..!!
Alibakwa kinyama mnoWe endelea..!! Sisi tupo bize na TRA (Touch, Release and Attack) yetu
Yanga bado ni timu mbovu inayojitafuta ndio maana imeshinda kwa mbinde
Sasa swala la mpinzani kuondokewa na wachezaji saba na kufungiwa usajili sisi linatuhusu nini au ni hoja ya msingi ? Yanga mbona kafungiwa usajili na hao tp mazembe wanaojitafuta si ndiyo wale waliowakobeka bao 1 -0 kwenye simba day yenu tena huku mtu akiwa ameligeukia goli lake au mmesahau ...www.jamiiforums.com
View attachment 3192918
π π π π .. Hupendi kushobokewa mtoto wa kike..!!?? Yaani kama ingekuwa kila mtu amjibu aliyemkwoti tu, kusingekuwa na mjadala.Shobo hizo, nimekukwoti wewe??
Yeye kasema makolo wanabanduliwa kwahiyo kumuuliza yeye anabanduliwa na nani kimekuuma?? π€£