Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Mbona taarifa haijakamilika,humtendei mwamba haki๐คฃYanga wamemtafutia lishangazi moja . To stimulate aziz ki to stay . what a great move .
Pisi ina mimba ya aziz kii , soon anakuwa na mcheza mpira wa next generation .
We wait . Will he stay ?!? We donโt know ?
Jamaa kaandika kwa uchungu sana, anatamani hilo lishangazi lingekuwa ndio yeye. Mleta uzi nafasi bado unayo lakini maana Azizi Ki ni muislam hivyo anaruhusiwa kukuongeza na wewe.Dada acha wivu ulitaka upigwe mimba wewe?
FafanuaHuyo mtu kaoa anawatoto na hawa watu sio vichwa laza kama watz ni wanaakilizoa
Use your brain . Donโt be dumb . Think something meaningful . Donโt be g@yJamaa kaandika kwa uchungu sana, anatamani hilo lishangazi lingekuwa ndio yeye. Mleta uzi nafasi bado unayo lakini maana Azizi Ki ni muislam hivyo anaruhusiwa kukuongeza na wewe.
Kwamba kutembea na malaya ndiko kutamzuia kutafuta timu? Okwi alikuwa na mamalaya mengi mengi tu lakini keshazurura hadi Ulaya, Asia na Afrika Magharibi na kuwaacha bongo, wala hakuna kilichomzuiaYanga wamemtafutia lishangazi moja . To stimulate Aziz Ki to stay . what a great move . Pisi ina mimba ya aziz kii , soon anakuwa na mcheza mpira wa next generation . We wait . Will he stay ?!? We donโt know ? Ni mwendo ya plan b ๐ .
Huyu ni mtotoKwamba kutembea na malaya ndiko kutamzuia kutafuta timu? Okwi alikuwa na mamalaya mengi mengi tu lakini keshazurura hadi Ulaya, Asia na Afrika Magharibi na kuwaacha bongo, wala hakuna kilichomzuia
That g@y mind set And brainless shit in you . Pathetic lame g@y shit you have in your head ๐ฎ. Get a bookDada acha wivu ulitaka upigwe mimba wewe?
amezaliwa lini, na anaitwa nani Ki ? ๐Huyu ni mtoto
Acheni ku overthink mambo, wewe una demu wako na pesa zako, kama hutaki kujulikana ni unakula Mali yako kimyakimya, sasa utafute mtu umlipe ili amuoe huyo demu wako wewe unakua unapata faida Gani? Au unamdanganya nani sasa? Janjaro alipiga ule mzigo sema Kuna watu hawakuamini sijui iliwauma ndo wanakuja na hizi propagandaKuna watu watasema hamisa ahaaa, hamisa hawezi kuwa pale kuna kiki inatengenezwa nyuma ya pazia kuna mwenye noti zake.
Au mmesahau dogo janja na ndoa ikafungwa na uwoya? Bado kuna watu waliamini ile ndoa? Jajaro alimuolea mtu, yeye analipwa kiki za mitandaoni ila kitandani analala mwenye pesa zake, janjaro nae analipwa mshahara.
Pesa hapa duniani ilishindwa kurudisha roho ya mtu ikikata ila vingine pesa ameweza.
Ki haangalii mimba ya mtu, anataka Dola za Marekani laki tanoYanga wamemtafutia lishangazi moja . To stimulate Aziz Ki to stay . what a great move . Pisi ina mimba ya aziz kii , soon anakuwa na mcheza mpira wa next generation . We wait . Will he stay ?!? We donโt know ? Ni mwendo ya plan b ๐ .