Kolokwinyo watabishaAziz Ki aliwaka sana wala siyo siri. Alichoambiwa ni kweli kabisa, ana sekunde fulani chache za kuchelewa kufanya maamuzi ingawa uzuri wake akishayafanya hayo maamuzi mara nyingi yanakuwaga sahihi.
Nadhani ndiye mchezaji bora wa NBC msimu huu.
Naunga mkono hoja mtaniIko wapi voice note....
😆 😆 😆
Mchezaji bora asiyekuwepo nusu fainali ni sawa na debe tupu lisilokuwa na unga“Kocha Rulani Mokwena alinifuata na kuniambia wewe ni mchezaji mkubwa sana na una kila sifa. Una nguvu na una umiliki mzuri wa mpira miguuni mwako,akanishauri niongeze uharaka eneo la ushambuliaji ili kuwa bora zaidi."
"Amenisisitiza kufanya hivyo akiamini kuwa pia naweza na nitakuwa bora zaidi kwa kuwa na namba nzuri ya ufungaji na hili nitalifanyia kazi”
©️ Stephane Aziz Ki
Umeona eee 😀 😀Naunga mkono hoja mtani
Itakuwa sawa na ile ya Try Again kunong'onezwa na Rais wa FIFA!Iko wapi voice note....
😆 😆 😆
Huyo uliyelike comment yake ni mwamba wa unyamani...una lingine?Ko
Kolokwinyo watabisha
Makolo wanafanya kampeni kimya kimya kumwiba azizi kii,anayeeoongoza kampeni ni semaji kama semaji la kolowizard🤣Sheikh adriz na Mwasibu nguli OKW BOBAN SUNZU , maoni yenu tafadhali juu ya hii kauli ya Aziz Kii.