Baada ya kuoana watu wanazoeana na kufahamiana kwa undani zaidi...
Kama before mtu alikua anapretend hawezi kuendelea kupretend forever lazima tabia za asili zitajitokeza na hapo kila mmoja anahisi alifanya wrong choice...
Mi naogopa sana ndoa jamani..ngoja nizeeke zeeke kwanza lol!