Wanajamvi nmefanya upelelezi kuhusu hizi kozi mbili lakini sikuridhishwa nazo kama kuna anayezifahamu vizuri na kwa undani naomba anielezee kwa kuwa nimechaguliwa Udom Bcom in Management Science(Procurement & Logistic) lakini nafikiria kuchukua B.com in international business baada ya kufanya upelelezi kwenye net, kabla sijafanya maamuzi ya kubadilisha kozi
Wewe nenda kapige kitabu acha longo longo! Kozi nzuri ubongo wako tu, sasa kasome hiyo unayofikiri then mwisho wa siku uje mtaani na gpa ya 2 ndo utalijua jiji. Au uje na gpa 4 halafu kichwa kweupe.
mi sikatai ni bora!!! lakini bora kwa vigezo gani??? je ni kwa sababu ina jina refu?? hutolewa na chuo flani?? au ninini?? embu tupe sababu isaidie na wengine...