Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Wadau, mdogo wangu amepangwa bcom in procurement UDOM bt me nimemshauri akifka chuo abadilishe achukue bcom in accounting ila wadau mbalimbali ndani na nje ya familia wanamshauri akomae na hiyo procurement...so nimeona ili tusimpoteze dogo ngoja nilete hii issue kwa nyie magreat thinker ili tupate kumpa dogo mawazo yenye kujenga..naamini humu kuna wahasibu na wagavi so nategemea kupata majibu chanya kutoka kwenu nyote wadau.