moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
[emoji23][emoji23]umetumia siku ngapi kugundua hilo?Hii kukaa ndani kujiepusha na mikusanyiko imenifanya nimegundua kuwa Herufi b,p,d na q,ni herufi 1 ila mapozi ndio tofauti```[emoji3][emoji3][emoji28]
*Tutulieni Nyumbani Tutagundua Mengi zaidi ya hili*[emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli tutagundua mengi huu mwakaHii kukaa ndani kujiepusha na mikusanyiko imenifanya nimegundua kuwa Herufi b,p,d na q,ni herufi 1 ila mapozi ndio tofauti```[emoji3][emoji3][emoji28]
*Tutulieni Nyumbani Tutagundua Mengi zaidi ya hili*[emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
My friend umevuta gundi ya kiatu ππππππHii kukaa ndani kujiepusha na mikusanyiko imenifanya nimegundua kuwa Herufi b,p,d na q,ni herufi 1 ila mapozi ndio tofauti```[emoji3][emoji3][emoji28]
*Tutulieni Nyumbani Tutagundua Mengi zaidi ya hili*[emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mteja
- Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
- Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi