Ba.Ed ya DUCE Vs Ba.Ed ya ST.Ag main campus

Erick zeph Stanley

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
647
Reaction score
72
Wakuu nimetingwa hapa naomba mnisaidie kati ya hii koz ya Bachelor of Art with Eductatio ya DUCE na ile Bachelor of Art with Education ya ST.AUGUST hasa ya main campus, Je kati ya hivyo vyuo viwili kipi kinatoa Ba.Ed kushinda chenzake?
 
DUCE ni nomaaaaa

Noma kivp!! Weka sababu sio unaongea tu!!
Ni noma kwa jina chuo? Ni noma kwa kozi zake!? Ni noma kwa uwepo wa waalim wa kutosha au ni noma kwa ushabiki!???
 
We usiulize ubora we omba mungu upate chuo na mkopo dogo ajira serikal itakupa tu!
 
we kasome kokote kuwa competent in we mwenyewe
 
Ufaulu wako upoje DUCE ni competetive ukilinganisha na SAUT kama ufaulu wako ni wa juu basi its better DUCE hasa kwenye mambo ya Cost

nina cutt off point 5 mkuu na mambo ya cost kivipi mkuu nieleweshe hapo
 
Kwa nijuavyo mimi, DUCE ni Campus ya UDSM, sawa na MUCE tu. Hata Cheti huwa kinaandikwa UNIVERSITY OF DSM, sasa we linganisha tu, na nadhani UDSM ni Chuo bora East Africa, na ipo kwenye 10 best Africa. Sio kwamba SAUT ni pabaya, HAPANA, siwezi kukiongelea coz sina xperience nayo. Asante
 

haya kaka nimekuelewa vizuri
 
Sijui sana kuhusu SAUT but nipo aware sana na DUCE

Tusaidie basi mwana kwa uelewa wako.
Nadhani DUCE kuhusu Ba.Ed ni kwamba, mtu anakuwa na masomo mawili ya kufundishia (mf. English lg & Geography), anayasoma kiundani sana, lkn pia anakuwa na kozi nyingine za ualimu (educational courses, mf. Psychology, Curriculum & Teaching, Philosophy, na kozi nyingine), hizi kozi unazusoma kwa uelewa ili ikusaidie ktk ufundishaji wa wanafunzi wa sekondari. Nadhani nimejitahidi kwa uwelewa wangu.
Mambo mengine kama utayakuta Chuo kama modality ya mitihani na utaratibu mwingine.
Lastly, ushauri wangu menda DUCE. Asante
 
Kwa ufaulu wako omba SAUT. DUCE kuna competition
 

Akhsanteh mkuu kwa maelezo yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…