Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Nadhani unayajua maisha ya DSM Hostel zilizopo chuo inategemea bahati unaweza kupata pia zipo Pia zile za Mabibo na nyingine zipo Mbagala.Ni rahisi kupata hostel za Mbagala lakini za Mabibo na zile za Campus ni Ngumu kidogo kupata inategemea bahatiwao vipi mkuu zipo au zakugombania
Nadhani unayajua maisha ya DSM Hostel zilizopo chuo inategemea bahati unaweza kupata pia zipo Pia zile za Mabibo na nyingine zipo Mbagala.Ni rahisi kupata hostel za Mbagala lakini za Mabibo na zile za Campus ni Ngumu kidogo kupata inategemea bahati
hv st august kuna hostel pale kwa ajili ya wanachuo?
Duce wanahitaj 9 points, b awere dogo, mshahara hauchagui colg!!!!!
We usiulize ubora we omba mungu upate chuo na mkopo dogo ajira serikal itakupa tu!
Wakuu nimetingwa hapa naomba mnisaidie kati ya hii koz ya Bachelor of Art with Eductatio ya DUCE na ile Bachelor of Art with Education ya ST.AUGUST hasa ya main campus, Je kati ya hivyo vyuo viwili kipi kinatoa Ba.Ed kushinda chenzake?
yah zpo ila hazitosh inabd wanafunz wakodi hostel binafsi zilizopo maeneo karibu na chuo.
mkuu umetia chumvi hapo kwenye point 9
Wakuu nimetingwa hapa naomba mnisaidie kati ya hii koz ya Bachelor of Art with Eductatio ya DUCE na ile Bachelor of Art with Education ya ST.AUGUST hasa ya main campus, Je kati ya hivyo vyuo viwili kipi kinatoa Ba.Ed kushinda chenzake?
Kweli mwanza watu wanakalia uchumi tu! yaani watu wanashindwa kuandika ''buss. plan'' waombe mkopo wa kujenga hostel? Kweli penye miti hapana wajenzi!!
Sio mwanza tu hata Dar. Duce penyewe zaidi ya robo tatu ya wanafunzi wanaishi off campus, ni wachache tu ndo wanaishi hostel za Duce, Mbagala na Mabibo hostel...
[/COLOR]
Upo mkoa gani? kwa nini usiende sekondari iliyopo karibu uombe ushauri? au wewe ulikuwa adui wa walimu? Hata hivyo ubora wa chuo si hoja, bali uwezo wako kichwani?maana unaweza ukaenda duce na ukaishia pata disco.ukabaki kujilaumu. pia, ukimaliza DUCE au SAUT na kuanza kazi bila shaka mishara inakuwa sawa! kwa nini upate ''headache''? Acha kusikiliza watu ,wewe chagua chuo unachotaka! Ila nakushauri uchague Duce kama points zako ni nzuri.
Hivi vyuo kila kimoja kinapas mark yake mfano SAUT. A ni 100-80,B+ ni 79-70, B ni 69-60,C ambayo ni pass ni 59-50 na D 49.9 fail lakini DUCE pass mark ni tofauti nadhan A ni 75 and above na pass ni 40
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
hv st august kuna hostel pale kwa ajili ya wanachuo?
Wakuu nimetingwa hapa naomba mnisaidie kati ya hii koz ya Bachelor of Art with Eductatio ya DUCE na ile Bachelor of Art with Education ya ST.AUGUST hasa ya main campus, Je kati ya hivyo vyuo viwili kipi kinatoa Ba.Ed kushinda chenzake?
ukikua utaacha, na siku utakayomaliza chuo na kuanza kazi ndio utaona ulichouliza hapa kilikuwa ni ujinga mtupu, ila sishangazwi na nyinyi vijana mnaojiandaa kuingia chuo sasa,hata sisi enzi zetu tuliamia chuo kikuu ni udsm pekee tz kumbe hara sua ni chuo kikuu.
Kweli mwanza watu wanakalia uchumi tu! yaani watu wanashindwa kuandika ''buss. plan'' waombe mkopo wa kujenga hostel? Kweli penye miti hapana wajenzi!!