BA in Finance vs Marketing

hanley jr

Senior Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
119
Reaction score
27
wadau kati ya hizo course mbili ipi ni bora katika soko la ajira la tanzania au yoyote anayejua business course nzuri ktk ajira aniambie,asteni wakuu
 
wadau kati ya hizo course mbili ipi ni bora katika soko la ajira la tanzania au yoyote anayejua business course nzuri ktk ajira aniambie,asteni wakuu

hamna hata moja nzuri hapo kwenye soko la kuajiriwa
 
Soma kitu unachokiweza...kufuata mkumbo kutaharibu ndoto zako...
Zote zina soko inategemeana uko competent kiasi gani.
 
nenda tu ba ya finance marketing ajira ni chache usipime afu marketers wengi watoto wa kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…