Toka Masaki inaitwa Kichangachui....toka Samora inaitwa Independence avenue....
Hivi Bossman uliwahi kwenda Ikulu kuangalia tausi?
Cc: Kiranga
Toka Masaki inaitwa Kichangachui....toka Samora inaitwa Independence avenue....
Hivi Bossman uliwahi kwenda Ikulu kuangalia tausi?
Cc: Kiranga
Toka Masaki inaitwa Kichangachui....toka Samora inaitwa Independence avenue....
Hivi Bossman uliwahi kwenda Ikulu kuangalia tausi?
Cc: Kiranga
Nah, it's definitely not what you think.
I'm just a very observant person.
Jamani wale wa Meeda mbona wamechoka sana? Kweli pale unapata ladha bado?
Special thread for wazinzi na walevi. kazi kwenu
Calabash ipo Mwenge..?
Brajec....Mlalakuwa/ Savei
Sungu Chini/ Kwa Chuwa
Hongera
UDASA
Mkuu Hongera haipo mwenge....ni Kijitonyama kata ya Mpakani "A" pembeni mwa chuo cha ustawi wa jamii
Acha uongo Brajec ipo Mlalakua survey.
Ha ha haaaaaa. Maeneo yalimchanganya aisee. But 4 years have elapsed ever since na mambo yamebadilika sana.Hay.....muongo nani sasa.....Nilisema ipo mlalakuwa tu hio ya survey wewe unajaribu kuwa too specific.Zaidi nilimkosoa huyo aliyesema Hongera Bar ipo Mwenge,soma vizuri uelewe kabla ya kuanza kukosoa.